Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tuna uwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Mnajitekenya .
US wana akili sana, wanaona miaka 100 mbele.
Wewe ambao viongozi wako kikomo chao cha kuona ni miaka 5 (miaka ya uchaguzi) tu ndio umvimbie USA?
Acha kutetea hao nguruwe yule jamaa aliyechana yale masikio sijui alikosaje shabaha
 
Sasa kama raslimali mnazo mnalia nini, chukueni hatua kama mtatoboa hata nusu mhula
Mshamba mmoja huko anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake
 
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka heye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kuolewa???
Japan na Germany ni chawa wa us
 
Hayo masharti ampelekee mke wake sisi ni wanaume asitupande vichwa kama anavyompanda mke wake
 
Sisi huku vijijini tunathirikaje na misaaada au mikopo kwa mfano wakati everything is free from nature kuni bure,maji bure,matunda bure porini ardhi yenye rutuba chochote unapanda atujui hata trump ni mdudu gani nadhani wataathirika zaidi na mikopo ni Hapo wezi wanairudisha hizo pesa bank za ulaya
 
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka heye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kuolewa???
Yaan akili ya uvc
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko huko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka yeye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kuolewa???
Yaani akili za uvccm siko zote huwa zinaweza kinyumenyume. Kwanini husemi tuzitumie sisi wenyewe kwa kuzibadilisha kuwa bidhaa . Kwan alichokisema Trump ni cha uongo. Kwan wewe ni mlipa kodi wa USA. Wewe ni raia wa USA?
 
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko huko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka yeye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kuolewa???
Hamna uwezo huo ndio, na trump si kuwaonea ila anawachana ukweli. Hao viongozi mnao wachagua ndio wanakujapande hizo na bakuli
 
Waafrika gani unaongelea? Hawa wasudan wanaopondana kila siku wenyewe kwa wenyewe au Rwanda na DRC? Au Nigeria na hao boko Haram? Wale Africa magharibi wanaopinduana kila siku?
Au nyie wátanganyika mnàolalama mama kujipitisha kugombea urais?
Huko Mozambique wanauana kugombea màtokeo ya uràis?
Waafrika gani unaongelea?
Kama kuna laana flani vile
 
Hamna uwezo huo ndio, na trump si kuwaonea ila anawachana ukweli. Hao viongozi mnao wachagua ndio wanakujapande hizo na bakuli
Tuna vichaa wengi tu ambao wanaweza kumshuhilikia tuko kimya sio kwamba ni wajinga
 
Haya malalamiko yamekaa kama ya mchepuko aliyenyimwa pesa ya saluni sasa anatishia kukataa kutoa unyumba kwa mume mwenye wake wengi na vibinti kibao vinavyojipendekeza vingine vipo jirani na yeye kabisa.
 
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany

Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga flani hivi akidhani sisi ni dhaifu sana anaweza kutunyanyasa anavyotaka yeye na tusiweze kufurukuta tukaendelea kumpigia magoti

Sio kweli kwamba Waafrika ni dhaifu kiasi hiki au hatuwezi kumpangia masharti

Tunaweza sana kumpangia masharti na akashindwa kabisa kuyafuata kama anavyotufanyia

Tukikubali kuendeshwa namna hii kila siku ni sawa na kuolewa naye
Ifike mahali tuseme sisi ni Wanaume usitupangie masharti kama unavyompangia mke wako

Kwanza kabisa Marekani inazalisha bidhaa kupitia malighafi nyingi sana zinazotoka Afrika

Japan China na Germany ni mataifa yenye uwezo wa kuzalisha bidhaa zote anazozalisha Marekani

Afrika tunauwezo wa kisitisha mikataba yote kwa muda tuliyofanya na Marekani tukaipitia upya kama alivyofanya yeye na tukaamua kuacha kumpa Marekani Malighafi zetu tukampa Japan, China au Germany na maisha yakaendelea kama kawaida

Marekani asitutishie nyau na wala asituuzie woga sisi sio dhaifu kiasi hicho anachoamini yeye

Mtu yuko huko bara la Ulaya alafu anatuendesha kama wajinga flani hivi tunashindwa hata kurudisha mapigo
Mtu mmoja aendeshe watu 8B anavyotaka yeye alafu tukae kimya kwani lazima tumtegemee??
Kuna Taifa la Germany, Japan, China hawa wote wanazalisha bidhaa yeye ni nani

Ifike mahali Afrika tumpe Marekani sharti la kuacha kutuingilia kana kwamba hatuna elimu au viongozi sisi sio wajinga tunauwezo wa kupata tunachotaka kutoka mataifa mengine sio lazima kwake mshamba flan hivi

Yaani anatupangia masharti kama anavyompangia mke wake sisi tunacheka naye au tumekubali kuolewa???
trump anavuta SKANKA!!!
 
Sisi huku vijijini tunathirikaje na misaaada au mikopo kwa mfano wakati everything is free from nature kuni bure,maji bure,matunda bure porini ardhi yenye rutuba chochote unapanda atujui hata trump ni mdudu gani nadhani wataathirika zaidi na mikopo ni Hapo wezi wanairudisha hizo pesa bank za ulaya
Mikopo tunaweza kuchukua hata Japan, China, Germany, France, Sweden na mataifa mengine yeye ni nani
 
Haya malalamiko yamekaa kama ya mchepuko aliyenyimwa pesa ya saluni sasa anatishia kukataa kutoa unyumba kwa mume mwenye wake wengi na vibinti kibao vinavyojipendekeza vingine vipo jirani na yeye kabisa.
Mshamba falan yule kwanza atapigwa chuma na hao hao Wamarekani wenzake hakuna mtu anayetaka kupandwa kichwa na kenge mmoja
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Mfano mdogo tu hapa kwetu, ni nani anayemuhitaji mwingine, ni marekani au sisi?
Ninyi mnasema ni mikopo yake tunaweza kuchukua taifa lingine
Japan, China, Germany, Arabs, France na mengineyo kwani lazima yeye
 
Back
Top Bottom