Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Ulimwengu una Mambo Sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuna wakati niliamini wewe ni mojawapo ya watu clever kumbe wapi! Rudia kusoma utamwelewa Trump.
 
Kama Trump angekuwa Rais wa Marekani Urusi wasingechukua haya majimbo. Trump ni genius sana. No wonder a genius has recognised a fellow genius.
Ila angeifanya Israel ikachukua Jérusalem. Trump na Putin wote sawa.
 
Hivi huyu Biden anatokea chama gani na yule Obama alitkua chama gani? Mana wakati wa Obama Cremia ikaenda na maji, leo Biden majimbo mawili, Trump hakupoteza jimbo hata moja na alijua anadeal na mtu wa aina gani, kwenda kwake Moscow kuzungumza hakuwa mjinga, sasa wajanja wanawatia wenzao matatizoni kila siku.

Inawezekana siku akija mtu mwingine wa icho chama basi nae atasababisha majimbo mengine kumegwa tena kwa kujifanya wababe
 
Ukweli mchungu ambao wengi wetu hatupendi kuusikia ni kwamba Raisi Vladmir Putin ni moja kati ya binadamu wenye akili mno. Tutabishana sana lakini uhalisia wa kihistoria umetuthibitishia hilo. Nafahamu wengi watasema Urusi inajificha nyuma ya mgongo wa silaha za kinyuklia, lakini mbona Urusi ilikuwa ina nyuklia tokea kipindi cha Chernenko, Gorbachev na Yeltsin. Hii ni hoja rahisi mno kwasababu kuna mataifa mangapi duniani yana silaha za kinyuklia lakini hayafanya kama Urusi ???

Leo nimesikiliza alichokisema Donald Trump kuhusu Vladmir Putin, kwamba "That was a genius move" and "I know him, he's a very savvy guy". Unaweza kumshambulia Donald Trump kwamba anasema haya kwasababu anamchuki Joe Biden, lakini hata Raisi Bill Clinton aliwahi kusema "Putin is smart, really smart". Donald Trump kasema anamfahamu Vladmir Putin baada ya kufanya naye kazi kwa kipindi kifupi kwamba ni mtu ambaye akisema kitu ni lazima akitekeleze.

Hapa siangaliaa suala la kimaadili "A Moral Side" lakini naangalia uwezo binafsi wa mtu. Hate Him or Love Him, Vladmir Putin is a very smart person.
 
Pamoja na kuwa Trump huwa anapenda fascistic fashist wenzake ila trump alikuwa kidogo anaonesha power kwa marekan na alikuwa anafanya mambo kwa akili ila hichi kibabu kibiden wamarekan wamepigwa mchana kweupe
Kabisa, na mataifa mengi yaliufyata kwa Trump Kama China na Iran
 
Maraisi wa Republican wanaogopwaga Sana, example Trump, Bush Jr na Bush Senior
 
Putin can not be Genius, otherwise tumuone akiweza kuhimili vikwazo alivyoekewa na wananchi wake wasijekufa njaa
 
Kama China alikuwa mdogo Kama piriton
Daaaa mkuu nakumbuka aisee Wachina hawatamsahau Trump aliwapiga sunctions wakawa wapole,, juzi eti nao wamempiga Pompeo sunctions,,,but 2024 Trump anaweza shinda tena
 
Daaaa mkuu nakumbuka aisee Wachina hawatamsahau Trump aliwapiga sunctions wakawa wapole,, juzi eti nao wamempiga Pompeo sunctions,,,but 2024 Trump anaweza shinda tena
atashinda mchana kweupe wamarekan wameshazinduka kuwa wamepigwa kwa kibabu Biden kaz kusinzia tu marekan wanahitaj kiongoz shupavu Kama akina Reagan Roosevelt akina Bush
 
Pamoja na kuwa Trump huwa anapenda fascistic fashist wenzake ila trump alikuwa kidogo anaonesha power kwa marekan na alikuwa anafanya mambo kwa akili ila hichi kibabu kibiden wamarekan wamepigwa mchana kweupe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
atashinda mchana kweupe wamarekan wameshazinduka kuwa wamepigwa kwa kibabu Biden kaz kusinzia tu marekan wanahitaj kiongoz shupavu Kama akina Reagan Roosevelt akina Bush
Biden hawez gombea Tena, Trump atamshinda kiuraisi,
 
Putin ni jasusi, mwanasiasa halafu zaidi ya yote umpende umchukie jamaa kichwa sana tu anajuwa kila afanyalo na zaidi ana personality.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…