imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Makao Makuu kuletwa Afrika hainamaana kwamba sisi ndio tuchangie zaidi ninachoongelea ni Location na tutafanya Biashara za kupokea wageni viongozi wa Dunia.Kama mnashindwa hata kufadhili matumizi ya taasisi yenu wenyewe, mkiletewa UN mtaweza kweli?
Binadamu wote wametokea Afrika kwanini UN ambayo maana yake ni umoja au muungano wa mataifa ya dunia makao makuu yake yasiwe Afrika.