Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Wewe huvioni ?!!Kwa kigezo gani?
Mwenyezi Mungu ameipatia dunia raslimali ili itufaidishe bila ya ubaguzi uliopitiliza......Trump anawakumbusha wanadamu kuwa thamani yao ni kubwa wapambane ili waithibitishe thamani yao ambayo HAIHODHIWI na binadamu wenzao.....
Trump anawaamsha waliolala....
#Hakika Trump ni mpango wa Mungu !