Makao Makuu kuletwa Afrika hainamaana kwamba sisi ndio tuchangie zaidi ninachoongelea ni Location na tutafanya Biashara za kupokea wageni viongozi wa Dunia.Kama mnashindwa hata kufadhili matumizi ya taasisi yenu wenyewe, mkiletewa UN mtaweza kweli?
🇹🇿Africa siyo nchi. Taja yatoke USA yahamishiwe nchi gani?
Vipi kaka unaona kama DFP zinaenda kuadimika mtaani?Pambavuu lishaonaaa duni yotee ianmtegemea yeyee ngese kweli
Bara la Afrika na kuna mdau amesema Arusha lakini bila Makonda.Africa siyo nchi. Taja yatoke USA yahamishiwe nchi gani?
Hapana Viongozi wa Dunia hawataki Drama za Makonda.
Mwanza sawa.
HaswaaaVipi kaka unaona kama DFP zinaenda kuadimika mtaani?
Kila sekunde iendayo inazidi kuniongezea mapenzi makubwa kwa taifa langu JMT....nje huko hatuna wajomba....ninawashangaa vyama vya upinzani Tanzania kuhangaika kutusemea kwa wajomba....ha ha ha haMy Take
Sawa tuu ajitoe kwani lazima awepo? Dunia inakoelekea ni kutamu 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DGuymp8Aoz8/?igsh=MWZ5N2NvbDZsdnA0eQ==
My Take
Na chawa wake bwana Musk yeye Huwa ni kusema ndio Mzee tuu 😆😆
Umefikiri vyema...UN ni USA!
Wakijiondoa wazungu wengi wataanza kuomba kazi africa
Mtu anayetajwa hadharani na Tundu Lissu kuwa ndie aliyehusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za Binadamu ndiye awe anawakarubisha Viongozi wa DUNIA?!Nawe bila kumtaja haulali...
Makonda oyeeeeee
Nairobi, hujasikiaMakao makuu ya UN yahamishiwe Afrika.
....Trump ni mpango wa Muumba mbingu na nchi....Angalau Dunia imechangamka kwa maana tulipoa sana hakika😅😅
... Nairobi hakutabiriki....bora wahamishie Tanzania yenye amani tele isiyo na ubaguzi wa kikabila wala kanda.....Nairobi, hujasikia
Kwa kigezo gani?....Trump ni mpango wa Muumba mbingu na nchi....
Ha ha ha haKwa hali inavyoondelea US ipo siki itajitoa hadi US..🤣
Nairobi Daresalaam Adiss Ababa Kigali Kampala Bujumbura Juba Mogadishu nk. Naipendelea East Africa ndiko kwenye Garden of Eden.Nairobi, hujasikia
Hujasikia No Reforms no Election... Nairobi hakutabiriki....bora wahamishie Tanzania yenye amani tele isiyo na ubaguzi wa kikabila wala kanda.....