Trump anataka Marekani, China na Urusi zipunguze nusu ya bajeti zao za ulinzi. Pia anapenda Urusi irudishwe kwenye G7

Huyu jamaa kaka kivingine tofauti na mwanzo, Dunia itamuelewa Kwa urahisi sana
 
makadirio ya wataalamu wengi wanaoifuatilia China ni kwamba bajeti yao halisi ni mara mbili ya ile ambayo serikali huwa wanaisema
Acha uongo hizo ni propaganda China wanatumia sana mfumo wa stimulus measures kuboost consumption
 
Pia fahamu kwamba ukiwa huna barabara za lami ukijenga utaonekana zaidi kuliko mwenye lami ambaye anahitaji kurekebisha mashimo tu.
"China's progress in advanced infrastructure is more than 100 times faster than the US."
Elon Musk (Feb, 2018)
 
Ni kawaida kwa serikali ya China kuzipa ruzuku kampuni zilizowekeza China it doesn't matter ni domestic au foreign companies

Kwa hiyo usidhani ni Elon Musk pekee ndiye aliyefaidika au anayefaidika na Chinese govt subsidies

Kwa kufanya comparison ya modern infrastructures kati ya China na Marekani bila kubishana China imeiacha kwa mbali Marekani
 
Mabepari wanakimbilia kuweka viwanda China na Asia kwa sababu ya Sweatshops ambazo ni ngumu kuweka US au Ulaya. Wamarekani hata kazi ngumu za mashambani wamewaachia immigrants, kwenye call centres za makampuni ya US nako Wahindi makapuku wamejaa.
Acha kupotosha watu China ndiyo inaongoza mwa mataifa yaliyowekeza nchi za Asia kwa wingi.

Angalia hapo kwenye mfg investment

Umeona gap ambalo China amempiga Marekani, South Korea na Japan?


Kwa hiyo Mchina ni bepari sio?
 
Wamarekani hata kazi ngumu za mashambani wamewaachia immigrants, kwenye call centres za makampuni ya US nako Wahindi makapuku wamejaa
Unajua sera ya Trump ya MAKE AMERICA GREAT AGAIN inalenga nini hasa?

Kuirudisha tena Marekani kwenye uchumi unaotegemea mfg industries badala kutegemea tu financial service

Mfg industry ndiyo ilifanya Marekani na nchi za Ulaya ziwe na uchumi mkubwa tangu kipindi cha industrial revolution

Later mfg Industry ndiyo imefanya uchumi wa China, Japan, South Korea uwe mkubwa. Mfg Industry ndio real economy

Ndiyo maana hata kiwango cha ukuzi wa uchumi wa Marekani na Ulaya ni kidogo sana

Mr MAGA anatamani sana arudishe uchumi wa viwanda ila sio jambo la overnight process inahitaji kuandaa supply chain, skilled personnel n.k

Achana na hizo blaah blaah zako sijui Wahindi mara immigrants
 
Humu kuna kulishana matango pori. Ninachojua hii ni tecnic nyingine USA anataka kutumia kuzidhoofisha Urusi na China. Lkn najua hawatamkubalia . Mengine tusidanganye hunu . Hakuna mwenye taarifa kamili juu ya bajeti ya kijeshi ya nchi husika zaidi ya kilee kinekuwa reported au kutumia google kama source ya taarifa au media nyingine. Hakuna kitu kinaitwa Balance of Power, chenye ukweli, kila nchi inatamani kuwa super power kwa nyanja zote za maisha. Ukisikia mgomvi wako anasema tuache kupigana jua mkao aliokuwepo haukuwa rafiki, ila akikaa vzr ataanza ugomvi. USA ameona kwa sasa dunia itamfanya fukara kuliko kwa kuwa technolojia imepanuka hata nchi za kawaida zinaweza kumletea madhara maana zinapata support toka China au Urusi.
USA ni wajinga tuu. Mbona Afrika haji na sera za economic sharing ili kuzikwamua nchi hizi ambazo zimewekewa mtego wa mikopo ili ziendelee kuwa tegemezi? Ameleta Demokrasia ilia kwa ujinga qa Qaafrika wabaki wanakimbizana na utamaduni wasioujia na kuiba mali zao wenyewe kwa kutumia madaraka vibaya? Mbona hasimamii hili. Mfano ni DRC hapo wapo kuiba na hawana hata huruma.
Rubbish idea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…