othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
- Thread starter
-
- #181
Sijui bhana lkn most women wapo hivyo mkuu.Mkeo anamtii mwenye pesa. Leo unamshukuru Trump kesho utamlaani lijamaa flani hivi lenye fedha za kuchezea kwa kutokujali njia asili ya kupita na kupita anapojisikia sababu ya pesa zake zinazopendwa sana na mkeo.
TusubiriKama wa kujifunza atajitunza
Kumbe na wewe UPENDO wako kwa mkeo NI WA kimagumashi kama ilivyo Heshima ya mkeo kwako. Ninyi NI ndege mfananao,msiache kuruka pamoja🤣🤣🤣🤣No kwa sasa big no. Sasa hv anafua boxer zangu
Kivip mkuuKumbe na wewe UPENDO wako kwa mkeo NI WA kimagumashi kama ilivyo Heshima ya mkeo kwako. Ninyi NI ndege mfananao,msiache kuruka pamoja🤣🤣🤣🤣
Milioni 2?. Laki 3 tatu Mkuu. Nilikonda nikawa Modo. Lakini Mungu alijua kunifurahisha. Now napambana kumaintain uzito usiwe offside🤣🤣🤣🤣🤣Kama hujawahi kuishi na mke anayecheza mchezo wa laki 7 kwa mwezi na bado anabadilisha mawigi na kucha kila weekend na shopping kila baada ya week 2 bila kukutegemea wewe hapo bado hujasema. Mbaya zaidi uwe unaishi nae na huna mchongo unaweza kufa kwa stress.
Mwanamke wa kibongo akimudu kushika million 2 yake tu kila mwezi ndoa lazma iwe inamtetemo wa hatari. Hapo ni roho mtakatifu awe ndani yake kuepusha kiburi na dharau kali juu ya mume.
UPENDO na HESHIMA vinatakiwa viwepo tu bila kujali hali au mazingira kwa sababu ni lishe muhimu sana ya nafsi ya Mwanadamu!.Kivip mkuu
Men are simple. Heshima tu inatosha kututuliza.MAy b lkn temporarily naenjoy, kuheshimiwa kuna raha yake mkuu, imagine eti leo hii narudi zangu home toka job naambiwa pole na kazi, nawekewa kahawa na navaliwa sexually night dress usiku kuna nn hapo?
Huyu matumaini ndiyo yanamweka mjini. Na anaonekana kuenjoy maisha ya wishful thinking. Eti anawish mkewe atabadilika(amejifunza)🤣Wewe jamaa!
Ulimuomba mungu msamaha Kwa kuanzisha uhusiano na mtu asie sahihi!!?
Huna ndoa mkuu!ilivunjika kipindi unanyimwa unyumba !nakuibia siri!Mwanamke akikunyima unyumba tu Ndoa imevunjika hapo hapo!haihitaji talaka ya mahakama!
HUYO SIO MKEO ,ULICHUKUA MKE WA MTU!OA TENA IKIBIDI!HUYO SIO MKEO!USIJIPE MATUMAINI YEYOTE COZ MAISHA NI MILIMA NA MABONDE!ATAKUJA TENA KUKUTESA KWA MARA NYINGINE KWA SASA AMEKUA SLEEPING GIANT!!
Jiandae kumsindikiza kliniki. Hata ukiwa baba mlezi sio mbayaPicha linaanza baada ya mwamba huyu kusitisha shughuli zote za USAID na Tz kuwa waanga wakubwa wa Tangazo hilo kwani iliajiri makumi kwa maelf ya watz kwenye sekta hiyo basi niwaibie siri na shemeji yenu alikuwa kwenye sekta hiyo.
Wayback niliwahi kushusha uzi humu nikielezea jinsi gani shemeji yenu anavyonibagaza na kuninyanyasa ikiwemo kuninyima tunda la rohoni kwakuwa tu nilikuwa jobless, nilielezea jinsi punde tu magu alivyoingia madarakani watu wengi walipoteza ajira nikiwemo mimi, kama kuna mwenye uzi ule aushushe ausindikize na huu.
Basi kipindi kile kwa shemeji yenu hakuna rangi niliiacha kuiona alinibagaza vya kutosha ilifikia kipindi hadi nguo zake za ndani namfulia ili tu kiumarisha upendo baina yetu lkn aliniona kama ng'ombe asiye na faida,
Kuhusu tunda la rohoni nilikuwa napimiwa kwenye kibaba tena mpaka ajisikie ilikuwa ni kawaida mwezi kupita bila ya viungo vyetu vya uzazi kukutana jambo ambalo lilinifanya niwe mfuasi wa dondrake kwa kujichukulia sheria mkononi, kimsingi niliteseka na kugugumia maumivu na sikuwa na la kufanya.
Wengi mlinikejeri kwa kunitupia lawama kwamba nitoke hapo nyumbani nikimbie, nikatafute kazi kwengine, nichome mahindi, nishone viatu basi ilimradi tu watu wakutoe kwenye reli bila kujari hali ngumu niliyokuwa napitia, lkn wkt wote huo still wifi yenu alikuwa kiburi na mkaidi
Kitambo kidogo kilipita mungu sio athumani mrume ni ka procure job somewhere mchongo ukatiki japo salary yangu ilikuwa inasoma six figure na wa kwake ukisoma 7 figure lkn angalau kwa mbali heshima ilikuwa inakuja na kupotea hivyo hivyo mradi siku zinasogea.
Sasa basi hivi karibuni naona wifi yenu amebadilika mno na utii umerejea ndani ya nyumba na mbususu napewa tena hata bila kuomba, na hii inafuatiwa baada ya rais wa marekani Donald trump kusitisha shuhuli zote za shirika hilo ulimwenguni, japo bado anaenda job lkn najua tayari red alert imeshatoa ishara kwamba sooner or later wifi yenu anaenda kuwa jobless,
Siwafichi kabadilika sn wifi yenu amekuwa mtiifu, anawahi kurudi, jambo hata kama nimemkosea yeye ndio ananiomba msamaha na kubwa zaidi mbususu sipimiwi tena kwenye kibaba napewa bila shuruti.
kimsingi namshukuru sn donald trump kwa kurejesha amani na utulivu kwenye ndoa yangu, najua wapo makumi elfu kama mm ndoa zao zinaenda kurudi kama zamani.
God bless America, God bless donald trump.
Daa Mungu asitufanye tuwe hivyoAlikuwa analishwa ndio maana akawa anafulishwa hadi vyupi na kunyimwa mbunye😂,,,Wanawake ni viumbe hatari sana kipindi ukiwa unatubu wanaweza kukufanya kama dekio tu. Usiombe uwe unasota na mke ana mishe zake.
Sikupingi Mkuu, apo ni mwendo wa kulazwa sebuleni au kwa watoto kwa kosa lolote imradi kisirani, unaweza kukohoa tu akasema unamharibia bed rest yake kesho ana seminar Bagamoyo ya wiki 1... ni muhaho wa hatari! Afadhali my wangu anapokea laki 6 yake. Mwanzo wa mwaka alipata offer mkoani ya maslahi sana nikaona ohooo naenda kuchapiwa nilipiga biti akisepa tu naongeza wife akaamua kusizi.Kama hujawahi kuishi na mke anayecheza mchezo wa laki 7 kwa mwezi na bado anabadilisha mawigi na kucha kila weekend na shopping kila baada ya week 2 bila kukutegemea wewe hapo bado hujasema. Mbaya zaidi uwe unaishi nae na huna mchongo unaweza kufa kwa stress.
Mwanamke wa kibongo akimudu kushika million 2 yake tu kila mwezi ndoa lazma iwe inamtetemo wa hatari. Hapo ni roho mtakatifu awe ndani yake kuepusha kiburi na dharau kali juu ya mume.
Yes atuambie kama bado anaendelea kufua au amepata kazi na yeye kaanza kiburiLitakuwa ni Jambo jema kama anaendelea kumfulia hata sasa ili kumshow love my wife wake, vinginevyo...🤣🤣🤣🤣
Mmekuwa adimu sana siwaoniTupo tumejaa huku Liwale...Tupo wengi mno
Ndivyo tulivyo. Tuzoee hivyo hivyoDada nyie mkibadirika ni kweli mlikua na ushost na shetan aisee
Kwa maelezo yake hawa ni ndege wafananao,wasiache kuruka pamoja. Wanaishi maisha ya kuviziana kama digidigi. Kulwa na Doto🤣🤣🤣🤣Yes atuambie kama bado anaendelea kufua au amepata kazi na yeye kaanza kiburi