Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] it it issa day operation
Code name ya Ops: Blah blah blah mingi Hatutaki kusikia
Sitashangaa kusikia Kenya Police ina APC mob kuliko JWTZ
after all KENYA POLICE BUDGET IS ALREADY LARGER THAN JWTZ
HATA KWS pia ina Budget equal na JWTZ
Hahaha Ina aircraft mob kuliko JWTZ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kafrican, do a little forensic kabla ya kupiga kelele, the link you posted is inaccurate (I know that). Hata kama tukienda na hiyo list tuu, Tanzania inatofauti gani na Kenya? Unasema Kenya ina ndege nyinyi, lakini mbona nyingine ni za mizigo na zingine ni ndogo (single prop engine)? Nyingi ni za zamani hazisaidii kwenye close combat. Angalia link hapo chini, and Google each and every aircraft uone ndege zenu ni za aina gani. Maybe plus 8 the old Israel F-15's mnazotaka kununuwa, lakini mimi sioni tofauti na Tanzania kabisa tena ikiwa bado tuna update our airforce.
Kenya Air Force
Sasa unabisha nini wakati idadi kubwa ya wahamiaji hao ndio watakaorudishwa. Kiswahili kimekuwa kigumu kuelewa?! 7 countries from Africa watazuiwa kuingia USA mojawapo ni Kenya wapi pagumu kuelewa.
hivi unajua vietnam ilipoteza watu millioni moja kwa hivo vita pamoja na wanajeshi zaidi ya 300,000.... unafikiri wangekua na vifaa wangepoteza idadi kubwa hivyo?Budget, Budget! Labda nikuulize swali dogo - hivi VietNam ilipopigana vita na Amerika na kuwashinda Budget ya VietNam ilikuwa ya kiwango gani? Think again - sio mnajisemea tu.
In short querilla war si mchezo U.S had over 58k fatal fatalities in 4 yearshivi unajua vietnam ilipoteza watu millioni moja kwa hivo vita pamoja na wanajeshi zaidi ya 300,000.... unafikiri wangekua na vifaa wangepoteza idadi kubwa hivyo?
Vietnam was a proxy war Between Russia and USA north Vietnam was a comunist Regime South Vietnam was a capitalist Regime Russia Supported the North USA supported the south.....USA dropped 4bn bombs in vietnam more Half of which have not exploded to this Day.....Budget, Budget! Labda nikuulize swali dogo - hivi VietNam ilipopigana vita na Amerika na kuwashinda Budget ya VietNam ilikuwa ya kiwango gani? Think again - sio mnajisemea tu.
Model ilianza 1990, but military version production imeanza 2008Sema zinatumika specifically kufanya shughuli gani? Zilianza kuhundwa kwenye miaka ya 90, tupe taarifa za mlejesho wa ufanyaji kazi wake kwenye field.
Hiyo news nani kakupa? Kwa taarifa yako Afrika ni Libya, Egypt only!!Sasa unabisha nini wakati idadi kubwa ya wahamiaji hao ndio watakaorudishwa. Kiswahili kimekuwa kigumu kuelewa?! 7 countries from Africa watazuiwa kuingia USA mojawapo ni Kenya wapi pagumu kuelewa.
Hiyo news nani kakupa? Kwa taarifa yako Afrika ni Libya, Egypt only!!
Kafrican, do a little forensic kabla ya kupiga kelele, the link you posted is inaccurate (I know that). Hata kama tukienda na hiyo list tuu, Tanzania inatofauti gani na Kenya? Unasema Kenya ina ndege nyinyi, lakini mbona nyingine ni za mizigo na zingine ni ndogo (single prop engine)? Nyingi ni za zamani hazisaidii kwenye close combat. Angalia link hapo chini, and Google each and every aircraft uone ndege zenu ni za aina gani. Maybe plus 8 the old Israel F-15's mnazotaka kununuwa, lakini mimi sioni tofauti na Tanzania kabisa tena ikiwa bado tuna update our airforce.
Kenya Air Force
Vietnam was a proxy war Between Russia and USA north Vietnam was a comunist Regime South Vietnam was a capitalist Regime Russia Supported the North USA supported the south.....USA dropped 4bn bombs in vietnam more Half of which have not exploded to this Day.....
Vietnam was also a guerilla warfare .......USA practised scorched earth policy and burned over 159mn acres of land in vietnam ......
It won the war because they never came to fight the attacked and retreated kind of like alshabaab ....
Unless Tanzania is going to play guerilla ....U dont know what ur talking!!
Hivyo vindege vyenu mnavyobrag manatufanya tucheke... Kwanza ni matoleo ya nyuma sana... Unaonaongelea F-5 leo wakati wenzako wana F-35...ru in your total sense?Hawk Mk 52
f-5
And many more
Na nani alikuambia Kenya tutatumia kama main Combat fighters?Acha huo ujinga... Wanazitumia hzo kama by da way... Siyo main combatant fighter...
Bragging as usual... Wakenya wanakufa kwa njaa.. Nyie ela zenu zote mnanunulia toys..Na nani alikuambia Kenya tutatumia kama main Combat fighters?
Hujasikia hizo ni za light attack?
We have over 15 types of air-force machinery!!
Including the new Huey
hivi unajua vietnam ilipoteza watu millioni moja kwa hivo vita pamoja na wanajeshi zaidi ya 300,000.... unafikiri wangekua na vifaa wangepoteza idadi kubwa hivyo?
Wenyewe hamna hela za kununua hizo toys! Maskini wa mwisho!!Bragging as usual... Wakenya wanakufa kwa njaa.. Nyie ela zenu zote mnanunulia toys..