KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Naona kuna baadhi ya waungwana humu jamvini wanashangilia taarifa hizi mbaya kwa ndugu zetu walio kwenye hiyo mitihani ya kuhitaji dawa hizo.......
Ki ukweli kibinadamu linapokuja jambo linalogusa afya au mustakabali mzima wa binadamu mwenzako ni vyema ukatunguliza utu kwanza...kwani mitihani chini ya jua sio ya mmoja.......
Maisha ni safari ndefu na hakuna ajuaye ya kesho.....na hujafa hujaumbika......
Si vyema kuleta kebehi, dharau ,vijembe na lugha za kuudhi kwa binadamu wenzako walio kwenye mitihani kwani hakuna mwenye kinga ya mitihani hapa chini ya jua.......
Tusijione wakamilifu na watakatifu kwa binadamu wenzetu kwa kuwa tu kwa wakati huu hujapata mitihani.....
Chini ya jua hakuna aliye salama.......
Ki ukweli kibinadamu linapokuja jambo linalogusa afya au mustakabali mzima wa binadamu mwenzako ni vyema ukatunguliza utu kwanza...kwani mitihani chini ya jua sio ya mmoja.......
Maisha ni safari ndefu na hakuna ajuaye ya kesho.....na hujafa hujaumbika......
Si vyema kuleta kebehi, dharau ,vijembe na lugha za kuudhi kwa binadamu wenzako walio kwenye mitihani kwani hakuna mwenye kinga ya mitihani hapa chini ya jua.......
Tusijione wakamilifu na watakatifu kwa binadamu wenzetu kwa kuwa tu kwa wakati huu hujapata mitihani.....
Chini ya jua hakuna aliye salama.......
