PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Wenye ngwengwe je!Kwa mazingira hayo, kila mmoja atunze kitendea kazi chake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye ngwengwe je!Kwa mazingira hayo, kila mmoja atunze kitendea kazi chake
Huwezi elewa kila kitu.Hapo unamaanisha nni,unaandika kama unajiandikia mwenyewe
Waache kuwaza posho na mavieite wawaze dharula hii? Ulimsikia chalamila akiwananga mama wajawazito hapo juzi?Kama kuna jambo nimewahi kusikitika ni hili......
Sometimes, tunashangilia bila kujua kinachotokea mbeleni...
Serikali iwahi mapema sana' kuhakikisha items zote muhimu zinapatikana na zinaendelea kwa hawa ndugu zetu'
Na nilitegemea kuwepo na kikao cha dharura/hata bunge lijadili dharura hiyo
Urusi hachangii kitu who? Wababe wabahiriii hawasaidii nchi masikiniiNasikia USA cha mtoto baba lao ni Urusi.
Haya sasa
Uhai wa mtoto wa Tanzania ni jukumu la mama Samia na si mabeberu.Mimi naumia na watoto ambao wanazaliw na hayo matatizo hawana atia kukatisha uhai wao pasi na ulazima
kama unaona tumejazana pungua weweSafi kabisa...kwanza tumezaliana sana inabidi wath wapungue
usikie tu kwa mwenzakoUna ukimwi nn!!
we huna?Una ukimwi nn!!
Dadeki aspirin tuu ni issue kwa wabongo 99%, hizo dawa bila msaada ukiuziwa katika market price utalipa milioni kwa dose, hamna uwezo huoSafi mataifa yote yajitegemee
Kila mtu apambane na hali yake.
Convoy Moja ya Rais wa Afrika inazidi inqsafiri kwa gharama Kubwa kuliko ya Rais Biden harafu unasena we maskini upewe misada?
Russia ni maskini tu ila wale ni wazungu wenye mikwara mingi.Safi sana, humu jukwaani si kila siku mnazinasibu China na Urusi kwa kuziita Superpowerz mbele ya US?? Naona mshaanza kutoa milio kabla hata mwamba hajatia gia![]()
Sasa wewe naye mgonjwa wa akili,wewe ni mpiga kura wa marekani,kwani ulisema wewe trump hafai basi na wamarekani waseme hafai?acha kujipa umuhimu usio maanaKweli kabisa,acha awanyooshe mbwa hawa. Si tulisema huyu mtu hafai kabisa
😂😂😂😂 Kimekuramba!mbona kisirani😂Sasa mbona kama anakomoa yule mwamba simkubali kwanza sura yake ipo tofauti na binadamu wengine yule ni katuni
Ndio hapo sasa, mtu zake anywee pombe, ila mwanaye akiugua anataka msaada kwa ndugu, Ndugu wakikacha anaanza kulalamika.Hela zenu mnafanyia Birthday, za mzungu mnataka awatibie