Trump asitisha misaada ya ARV na dawa za Malaria kwa muda

Trump asitisha misaada ya ARV na dawa za Malaria kwa muda

Utawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, pamoja na vifaa vya matibabu kwa watoto wachanga, katika nchi zinazosaidiwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID).

Hatua hiyo ni sehemu ya kusimamisha kwa muda msaada wa Marekani duniani kote ili kupitia upya programu hizo. Taarifa hiyo imetolewa kwa wakandarasi na washirika wanaofanya kazi na USAID, ikiwa ni pamoja na kampuni ya Chemonics, ambayo inashirikiana na USAID kusambaza dawa hizo muhimu duniani kote.

Utawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, pamoja na vifaa vya matibabu kwa watoto wachanga, katika nchi zinazosaidiwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID).

Hatua hiyo ni sehemu ya kusimamisha kwa muda msaada wa Marekani duniani kote ili kupitia upya programu hizo. Taarifa hiyo imetolewa kwa wakandarasi na washirika wanaofanya kazi na USAID, ikiwa ni pamoja na kampuni ya Chemonics, ambayo inashirikiana na USAID kusambaza dawa hizo muhimu duniani kote.
Wamarekani ni watu wema sana japo watu wanawatukana sana,hawatakubali Dunia ipukutike akina Baiden Bado wapo lkn pia mama Samia ni mama na ana huruma za kimama hataruhusu watu wafe zaidi sana Mungu anatupenda litaoita kama korona ilivopita
 
Wamarekani ni watu wema sana japo watu wanawatukana sana,hawatakubali Dunia ipukutike akina Baiden Bado wapo lkn pia mama Samia ni mama na ana huruma za kimama hataruhusu watu wafe zaidi sana Mungu anatupenda litaoita kama korona ilivopita
Mi nawapenda sn wazungu
Wahusika wanunue dawa za wananchi
 
watu wasipaniki sana especially wanaotumia hizi njugu pharmaceutical industry ni moja ya sehemu ambayo US government inapiga hela ndefu sana, hapo kitakacho fanyika ni kwamba serikali za Africa na Marekani zitaingia makubaliano na kuingia katika commitment kutekeleza ahadi zao, i give you and what should i get from you, Trump anapigana vita ya kiuchumi strategically lengo kuu ni make America great again. Hapa lazima serikali za Africa zinyooshe mikono juu.
 
Uhai wa mtoto wa Tanzania ni jukumu la mama Samia na si mabeberu.
Pesa zinazotumiwa kuzalisha chawa ziende kwenye afya na elimu badala ya mchungaji Masanja Mkandamizaji na Steve "Nyerere" eti na goli la mama!
Elimu inatolewa sana kila siku
 
Utawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, pamoja na vifaa vya matibabu kwa watoto wachanga, katika nchi zinazosaidiwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID).

Hatua hiyo ni sehemu ya kusimamisha kwa muda msaada wa Marekani duniani kote ili kupitia upya programu hizo. Taarifa hiyo imetolewa kwa wakandarasi na washirika wanaofanya kazi na USAID, ikiwa ni pamoja na kampuni ya Chemonics, ambayo inashirikiana na USAID kusambaza dawa hizo muhimu duniani kote.
Aisee

Kweli mbongo Mpe title tu ya habari…. Story yote atapika na atapakua
 
Kuna mazuri amefanya na ataendelea kuyafanya ikiwemo kukomesha Ushoga na Usagaji
Very true
Mashoga na wasagaji walivyo wapuuzi eti hawezi kukomesha

Haituhusu tunachosema haitambuliki kwenye serikali km mwanzo na watu kutoka mataifa mengine walikuwa wanakimbilia US sbb Alikuwa mtetezi SS us sio mtetezi wa huo upuuzi,jinsia ni 2 tu!
 
Utawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, pamoja na vifaa vya matibabu kwa watoto wachanga, katika nchi zinazosaidiwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID).

Hatua hiyo ni sehemu ya kusimamisha kwa muda msaada wa Marekani duniani kote ili kupitia upya programu hizo. Taarifa hiyo imetolewa kwa wakandarasi na washirika wanaofanya kazi na USAID, ikiwa ni pamoja na kampuni ya Chemonics, ambayo inashirikiana na USAID kusambaza dawa hizo muhimu duniani kote.
Duh...... Habari mbaya sana kwa wagonjwa
 
Back
Top Bottom