Trump asitisha misaada ya ARV na dawa za Malaria kwa muda

Trump asitisha misaada ya ARV na dawa za Malaria kwa muda

Utawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, pamoja na vifaa vya matibabu kwa watoto wachanga, katika nchi zinazosaidiwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID).

Hatua hiyo ni sehemu ya kusimamisha kwa muda msaada wa Marekani duniani kote ili kupitia upya programu hizo. Taarifa hiyo imetolewa kwa wakandarasi na washirika wanaofanya kazi na USAID, ikiwa ni pamoja na kampuni ya Chemonics, ambayo inashirikiana na USAID kusambaza dawa hizo muhimu duniani kote.
Mwache Trump apige marufuku Dawa za ARV za Malaria kwani hizo Dawa za ARV hazitibu Maambukizi ya Ukimwi dawa za ARV hazina mpango wowote ule. Jamani mwenye kuwa na ugonjwa wa ukimwi anitafute kwa wakati wake ili nipate kumtibia apate kupona maradhi yake. Na Mtu mwenmye maradhi ya Malaria Sugu chemsha majani ya Mwarubaini kunywa kwa siku 3 asubuhi kikombe 1 mchana kikombe 1 na usiku kikombe 1 kwa siku 3 nenda kapime utakuta huna tena maradhi ya Malaria sugu Dawa nimetoa bure hiyo ifanyieni kazi mulete mrejesho wake hapa uguweni pole.
 
Namuunga mkono Hamuwezi kua nchi tajiri kwa resources afu mnabaki kuwa omba omba
 
Bado mna mentality za kusaidiwa Tena mkuu
Kwann serikali isinunue hizo dawa?.
ahaa! Kumbe dawa za kununua zitapatikana? Hapo sawa, sasa kama serikali itanunua, je itaendelea kugawa bure kama kawaida? Wangapi watamudu kununua dawa hizo kwa muda wote wa maisha yao?
 
Africa population is approximated to over 1.5 billion people

People living with HIV/AIDS are aproximated to be 30 million people

Let us die men let us sacrifice for others.
 
Ziniue mara ngapi...hapa nilipo ni deadman walking
Kila mtu ni deadman walking. Hapa tunapoongea nchi hii kuna mtu kamwagwa ubongo na boda boda somewhere. We punguza mbususu kidogo.
 
Mwache Trump apige marufuku Dawa za ARV za Malaria kwani hizo Dawa za ARV hazitibu Maambukizi ya Ukimwi dawa za ARV hazina mpango wowote ule. Jamani mwenye kuwa na ugonjwa wa ukimwi anitafute kwa wakati wake ili nipate kumtibia apate kupona maradhi yake. Na Mtu mwenmye maradhi ya Malaria Sugu chemsha majani ya Mwarubaini kunywa kwa siku 3 asubuhi kikombe 1 mchana kikombe 1 na usiku kikombe 1 kwa siku 3 nenda kapime utakuta huna tena maradhi ya Malaria sugu Dawa nimetoa bure hiyo ifanyieni kazi mulete mrejesho wake hapa uguweni pole.
Dawa ya malaria umetaja ila ya ukimwi utafutwe
 
Utawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, pamoja na vifaa vya matibabu kwa watoto wachanga, katika nchi zinazosaidiwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID).

Hatua hiyo ni sehemu ya kusimamisha kwa muda msaada wa Marekani duniani kote ili kupitia upya programu hizo. Taarifa hiyo imetolewa kwa wakandarasi na washirika wanaofanya kazi na USAID, ikiwa ni pamoja na kampuni ya Chemonics, ambayo inashirikiana na USAID kusambaza dawa hizo muhimu duniani kote.
Hizi dawa kwani zinazalishwa Marekani tu? bora wafunge na balozi zao hapa nchini Urusi na china wanasaka haya mashirikiano kwa kutoa hiyo misaada kwa udi na uvumba
 
ahaa! Kumbe dawa za kununua zitapatikana? Hapo sawa, sasa kama serikali itanunua, je itaendelea kugawa bure kama kawaida? Wangapi watamudu kununua dawa hizo kwa muda wote wa maisha yao?
Ndo inunue iwape bure tu kwakweli
Maana Hela za kula mafisadi zipo Kwann za dawa zisiwepo?.
Serikali ijipange
 
ahaa! Kumbe dawa za kununua zitapatikana? Hapo sawa, sasa kama serikali itanunua, je itaendelea kugawa bure kama kawaida? Wangapi watamudu kununua dawa hizo kwa muda wote wa maisha yao?
Serikali ipi unayosema itaweza kutoa ARV bure hii hii inayoshindwa kununua gloves hospitalini au nyingine?
 
Back
Top Bottom