zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Tuanze kuokota maiti yaan hapo kuna watu wametangaziwa msibaAfrica population is approximated to over 1.5 billion people
People living with HIV/AIDS are aproximated to be 30 million people
Let us die men let us sacrifice for others.
Ni kweli, kuna wizi serikalini ukipungua utapunguza kulia lia kwa % kadhaa.Mbona Hela zinaliwa tu mkuu , ulimsikiliza CAG, na hizo V8 punguzeni kununua jmn
Likewise, happy kufeel uwepo wakoYes yes
I'm good rafiki
Hapo new year
NoooooLikewise, happy kufeel uwepo wako
Long time sana
Trump mtu wa maana kabisa, kila mtu ashinde mechi zake kisha tutajua nani ni superpowerNooooo
Nakula popcorn huku nikimpongeza Trump kutoka huku Kijijini😅😅
ni hii inayoongozwa na ccmSerikali ipi unayosema itaweza kutoa ARV bure hii hii inayoshindwa kununua gloves hospitalini au nyingine?
Hizo ARV wataziuza bure wakinunua kutoka wapi China au Urusi?ni hii inayoongozwa na ccm
kwa hao wamashariki, india nayo si inatengeneza? Watatuuzia tu, hela haikataliwiHizo ARV wataziuza bure wakinunua kutoka wapi China au Urusi?
Pale shemeji atakapokuletea gonjwa haya maneno yako utayakumbuka unless huna kitobo au Shemu ana erectile dysfunctionalNa badooo,
Mlimshangilia humu na kuna waswahili wengine walidiriki hadi kumtungia wimbo na kumuita mkombozi aliyetumwa na Mungu, dawa inazidi kuingia sasa
Ngapi huko??Utawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, pamoja na vifaa vya matibabu kwa watoto wachanga, katika nchi zinazosaidiwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID).
Hatua hiyo ni sehemu ya kusimamisha kwa muda msaada wa Marekani duniani kote ili kupitia upya programu hizo. Taarifa hiyo imetolewa kwa wakandarasi na washirika wanaofanya kazi na USAID, ikiwa ni pamoja na kampuni ya Chemonics, ambayo inashirikiana na USAID kusambaza dawa hizo muhimu duniani kote.
Wewe unaamini Trump atakomesha ushoga na usagaji? AjabuKwa Hilo tu ndio litoshe kuona Kamala angefaa zaidi ya Trump ?
Kamala angeweza kukomesha ushoga na usagaji ?!
Wewe unaamini Trump atakomesha ushoga na usagaji? Ajabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na badooo,
Mlimshangilia humu na kuna waswahili wengine walidiriki hadi kumtungia wimbo na kumuita mkombozi aliyetumwa na Mungu, dawa inazidi kuingia sasa
LGBTQ hawezi pambana na harakati zake.Yupo sahihi, Trump kapiga Marufuku pia Harakati zote za LGBTQ+