Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Nimesoma jinsi idadi kubwa ya wamarekani walivyompinga Trump kuhusu Chloroquine coz haijawa approved scientifically

However, Uchawi na Uganga ni Fictions tu...hakuna Uchawi wala Uganga...ni mambo ya kuwadanganya na kuwatisha watu ili kupiga pesaView attachment 1393490

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo idadi kubwa ya Wamarekani wanaompinga ni wangapi dhidi ya wale wanaomuunga mkono?

Wapingaji huwa hawakosekani. Uwepo wao ni lazima.

Na Trump hajaamua yeye mwenyewe binafsi. Ni kwa ushauri wa wana sayansi ambao wameshaona kuna nafuu fulani ambayo hiyo dawa ya chloroquin inaleta kwa wagonjwa wa hicho kirusi.

Na kitachofanyika ni majaribio kwa kiwango kikubwa zaidi kuliko ilivyo kawaida.

Trump hajasema chloroquin ndo tiba ya Corona.

Sasa hao wapingaji wanapinga hadi majaribio ya dawa? Kwani dawa zingine huwa zinaanzaje kutumiwa kama huwa hazifanyiwi majaribio?

Kuna watu wao kazi yao ni kupinga pinga tu.

Trump hata kesho akigundua dawa ya kutibu hiyo corona wapo wataopinga tu.

Imagine wapo wanaomsema kwa yeye kuiita hii virus ‘the Chinese virus’ ilhali Marekani nzima zimejaa restaurants za ‘Chinese food’ na hakuna mtu ambaye huwa analalamika kwamba ukisema ‘Chinese food’ basi wewe ni racist.

Chinese food na Chinese virus vina tofauti gani?

Haya, Chinese restaurant hiyo.....nimeipiga picha sasa hivi.

Tofauti ya Chinese virus na Chinese restaurant ni nini?

7609455F-272C-466D-9FD0-0932D3FC9B60.jpeg
 
Trump ameshapingwa na team ya madaktari wengi wa marekani na solution sio Chloroquine kwasababu haijawa approved ila plaquinil

Fuatilia updated newsView attachment 1393502

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani huo uamuzi wa kuijaribu chloroquin ulifanywa na Trump peke yake?

Hao wanaompinga wao wanapendekeza dawa gani ndo ijaribiwe?

Wamesema dawa ambayo inatibu hiyo virus?
 
Mad president!
Nime wahi kusikia chroloquine ina saidia kupunguza makali ya homa ya ini pia,mama yangu mkubwa alikuwa akiagiza,ila kumbuka hazipatikani ila watu walikuwa wakapata chache kwa shida na kumpelekea
 
Trump ameshapingwa na team ya madaktari wengi wa marekani na solution sio Chloroquine kwasababu haijawa approved ila plaquinil

Fuatilia updated newsView attachment 1393502

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ku qoute neno au reply ya mtu mmoja leta details zote hapa,
Kama mhatasari..


Ila uki qoute si sababu ya ushahidi tosha..
Bali critical evidence.

Wanaopinga wana sababu gan za kitaalam
 
Hii dawa nikkitaja jina tu mate yanajaa mdomoni yani[emoji849], nayakumbuka mateso yake, mwili unawasha full kujikuna,masikio hayana ushirikiano dah,ila ikitokea ndyo dawa ya Corona,ntabugia bila shuruti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ilikuwa hainiwashi wala kuziba masoko, ila ilikuwa inanilegeza mwili kunyong'onyea utafikiri mwili wamgu umetengenezwa kwa cheese 😅
Nilikuwa nikimaliza dozi mwili unakuwa dhaifu kwa karibu wiki 2 au zaidi, yani hata kufumbua macho ilikuwa shughuli 😪
 
Nyani Ngabu, Tofauti ya Chinese Restaurant na Chinese Virus, ni kuwa Ch'se virus is harmful word, as Corona is Pandemic d'se inawaumiza wachina kuita hivyo tofauti na ukiita Chinese food ambayo sio abuse word ni neno la kawaida...!

Kwanini asiite ''Corona Virus'' ilihali wachina wameshareact negatively na amekuwa akirudia neno hilo la Chinese virus mara kwa mara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofauti ya Chinese Restaurant na Chinese Virus, ni kuwa Ch'se virus is harmful word, as Corona is Pandemic d'se inawaumiza wachina kuita hivyo tofauti na ukiita Chinese food ambayo sio abuse word ni neno la kawaida...!

Kwanini asiite ''Corona Virus'' ilihali wachina wameshareact negatively na amekuwa akirudia neno hilo la Chinese virus mara kwa mara?

Sent using Jamii Forums mobile app

Unachekesha!

Very simplistic defense.

Chinese food, is okay.

Chinese virus, is wrong 🤣🤣🤣🤣.

Tafuteni mengine ya kumkosoa Trump.

Hilo la Chinese virus, mmenoa.
 
Nyani Ngabu, Ok, ina majina mengi...

Baada ya kuona kuwa hilo jina analotumia linawakera Wachina na lina possibility ya kuleta conflict kati ya Asians na race zingine Marekani au kati yake na Wachina kulikuwa na haja gani ya kulirudia Mara kwa mara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok, ina majina mengi...

Baada ya kuona kuwa hilo jina analotumia linawakera Wachina na lina possibility ya kuleta conflict kati ya Asians na race zingine Marekani au kati yake na Wachina kulikuwa na haja gani ya kulirudia Mara kwa mara?

Sent using Jamii Forums mobile app

Haijaleta conflict yoyote ile.

Liberals ndo wanataka kuwepo na conflict ili wapate cha kumkosolea Trump kisiasa ili iendane na narrative yao ya kwamba yeye ni racist.

Lakini kusema kwamba hiyo virus ni Chinese virus, hakuna racism hapo hata kidogo! Ni kusema ukweli tu.

Kirusi kimeanzia China. Fact.

Kama chakula cha kichina kinaitwa chakula cha kichina, basi hata kirusi kilichoanzia China nacho ni kirusi cha Kichina.
 
Back
Top Bottom