Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Sasa hapo amethibitisha au ameongea tu! Nimesikiliza mara mbili mbili ili nisikie akitaja idadi ya Wagonjwa wa coronavirus waliopona baada ya kutumia chloroquine lakini hajataja hata mmoja! Na hakuna any scientific findings aliyo-refer kuthibitisha maelezo yake.

Sasa amethibitisha nini hapo?!
 
Upo marekani Afu unakuwa mjinga mjinga.

Kati yangu na wewe nani mjinga?

Trump hajathibitisha kuwa Chloroquin inatibu malaria, kama ulivyodai kwenye kichwa cha mada yako.

Video uliyoweka, haithibitishi kwamba Trump kathibitisha.

Halafu unapata ujasiri wa kuniita mimi mjinga.

Majanga!!!
 
Sasa hapo amethibitisha au ameongea tu! Nimesikiliza mara mbili mbili ili nisikie akitaja idadi ya Wagonjwa wa coronavirus waliopona baada ya kutumia chloroquine lakini hajataja hata mmoja! Na hakuna any scientific findings aliyo-refer kuthibitisha maelezo yake.

Sasa amethibitisha nini hapo?!

Inakatisha tamaa kabisa kuwa na watu wa aina ya huyu mwanzisha mada.

Mpaka sasa corona virus haina tiba.

Trump kazungumzia majaribio ya chloroquin.

Watu wengine ni bure kabisa.
 
Hapana mkuu yupo sahihi na study imefanywa na wasomi wa Marekani
An Effective Treatment for Coronavirus (COVID-19)_

Kaazi kweli kweli!

Corona virus haina tiba kwa sasa.

Kinachoendelea ni majaribio ya dawa mbalimbali, ikiwemo chloroquin.

Nipo hapa namwangalia Dr. Anthony Fauci.

Jamaa anaheshimika sana na yupo kwenye White House corona virus task force.

Kasema kwamba corona virus bado haina tiba.

D8271B6A-F792-42EE-A156-39B1FE774E93.jpeg
 
Kaazi kweli kweli!

Corona virus haina tiba kwa sasa.

Kinachoendelea ni majaribio ya dawa mbalimbali, ikiwemo chloroquin.

Nipo hapa namwangalia Dr. Anthony Fauci.

Jamaa anaheshimika sana na yupo kwenye White House corona virus task force.

Kasema kwamba corona virus bado haina tiba.

View attachment 1393534
 

Attachments

  • Screenshot_20200317-005442.png
    Screenshot_20200317-005442.png
    32.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20200317-005427.png
    Screenshot_20200317-005427.png
    31.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20200317-005351.png
    Screenshot_20200317-005351.png
    31.2 KB · Views: 1
Nyani Ngabu,
Summary


Recent guidelines from South Korea and China report that chloroquine is an effective antiviral therapeutic treatment against Coronavirus Disease 2019. Use of chloroquine (tablets) is showing favorable outcomes in humans infected with Coronavirus including faster time to recovery and shorter hospital stay.

US CDC research shows that chloroquine also has strong potential as a prophylactic (preventative) measure against coronavirus in the lab, while we wait for a vaccine to be developed. Chloroquine is an inexpensive, globally available drug that has been in widespread human use since 1945 against malaria, autoimmune and various other conditions.
 
Nyani Ngabu,
Data from the drug’s [chloroquine] studies showed ‘certain curative effect’ with ‘fairly good efficacy’ … patients treated with chloroquine demonstrated a better drop in fever, improvement of lung CT images, and required a shorter time to recover compared to parallel groups. The percentage of patients with negative viral nucleic acid tests was also higher with the anti-malarial drug… Chloroquine has so far shown
 
Nyani Ngabu,
Antiviral therapies:


... chloroquine phosphate (adult 18-65 years old weighing more than 50kg: 500mg twice daily for 7 days; bodyweight less than 50kg: 500mg twice daily for day 1 and 2, 500mg once daily for day 3 through 7) …


Additionally, the Guangdong Provincial Department of Science and Technology and the Guangdong Provincial Health and Health Commission issued a report stating “Expert consensus on chloroquine phosphate for new coronavirus pneumonia: …

clinical research results show that chloroquine improves the success rate of treatment and shortens the length of patient’s hospital stay.”[9] The report further goes on to cite research from the US CDC from 2005 as well as research from the University of Leuven University in Belgium regarding chloroquine’s effectiveness against SARS coronavirus at the cellular level.[10]
 
Nyani Ngabu,
The UK has banned the export of Chloroquine[13]


As of February 26, 2020, the UK government has added chloroquine to the list of medicines that cannot be parallel exported from the UK. Chloroquine was never on this list before. This likely happened because of the growing body of evidence of chloroquine’s effectiveness against coronavirus.
 
Back
Top Bottom