Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

The UK has banned the export of Chloroquine[13]


As of February 26, 2020, the UK government has added chloroquine to the list of medicines that cannot be parallel exported from the UK. Chloroquine was never on this list before. This likely happened because of the growing body of evidence of chloroquine’s effectiveness against coronavirus.

Wapi panaposema chloroquin inatibu corona?
 
Conclusion


Chloroquine can both prevent and treat malaria. Chloroquine can both prevent and treat coronavirus in primate cells (Figure 1 and Figure 2). According to South Korean and China human treatment guidelines, chloroquine is effective in treating COVID-19. Given chloroquine’s human safety profile and existence, it can be implemented today in the U.S., Europe and the rest of the world. Medical doctors may be reluctant to prescribe chloroquine to treat COVID-19 since it is not FDA approved for this use. The United States of America and other countries should immediately authorize and indemnify medical doctors for prescribing chloroquine to treat COVID-19. We must explore whether chloroquine can safely serve as a preventative measure prior to infection of COVID-19 to stop further spread of this highly contagious virus.

Nyani Ngabu
Watu wanataka kupiga pesa na mambao mengine ya kisiasa ndo maana ugonjwa huu umepewa kick sana kama tunataka kutibu watu tuzalishe chloroquine siyo kaxi mbona Uingereza wamezuia ku export baada ya kustuliwa,tusifuate mkumbo.
 
Haya nenda kiwandani ukazizalishe hizo chloroquin.
Mkuu sifanyi dhihaka wala siyo lengo kushindana,hili suala limesemwa sana ndani na nje ya nchi,katika watu maarufu bilionea wa Tesla Elon Musk,kuna watu twita wamemtag mpaka naibu waziri wa afya,nia ni moja tuokoe maisha ya watu.
 
Ni kweli anaheshimika na yawezekana amesema hakuna tiba.

Lakini Fauci hayuko kwenye kutibu (na pengine kwenye utafiti na majaribio ya dawa) covid 19. Ila China, na France wamefanya research na trials limited-as against wide trials- na wamejiridhisha hydroxychloroquine na chloroquine phosphate, vikitumika na azithromycin, vimekuwa na mafanikio makubwa kufubaza na kuuwa sars-cov-2.

Kwa sababu ya muda wa kudevelop na kupata approval ya kuzalisha na kusambaza dawa/vaccine, njia inayoonekana ni salama na ya haraka ni kutafiti dawa ambazo zilishavuka na kutumika huko nyuma lakini ambazo zinaweza kutibu janga lililopo sasa hv na kwa haraka inayotakiwa. Sishangai Trump kuongelea kuondoa "red tape" iliyopo ili kuharakisha upatikanaji wa dawa.

Hao akina fauci wanakuwa waangalifu kwa kuwa taasisi zao hazijathibitisha na wala kutoa idhini ya tiba yeyote ya covid 19 kuanza kutumika rasmi. Ila tumaini ni kubwa kwa kweli.
 
Ndiyo maana africa ni maskini kwa ujuaji na kupinga kila kitu. Hicho ni kipande kidogo cha Video Nadhani ungeomba Full Video na Hii taarifa ameitoa leo akiwa na cdc
Acha porojo wewe!! Na nimehoji, sasa HAPO KATHIBITISHA nini?! Sasa wewe unataka niongelee kitu ambacho hakipo wakati ulichoweka hakuna popote alipothibitisha?! Kwanini ni-assume hicho ni kipande kidogo wakati hakuna popote uliposema kwamba hiyo ni sehemu tu ya maelezo yake?! Kwanini unataka watu wa-assume hiyo ni taarifa ya CDC wakati hakuna popote uliposema alikuwa anazungumzia taarifa ya CDC?

Btw, nani anayeweza kuthibitisha kati ya Trump na CDC?! Yaani wewe na huko kujua unakojitia kuwa nako ndo unaamini Trump ndie anayeweza kuthibitisha hilo kama ulivyodai badala ya CDC? Acha mbwembwe za kujitia kujua wakati kwa mada ndogo kama hii umethibitisha wazi hata maana ya kuthibitisha HUJUI!!
 
elishilia,

Dr. Fauci kasema. Hakuna suala la ‘yawezekana kasema kweli’ au la.

Video hiyo hapo.

Unaweza kuiangalia yote.

Ila, anaposema hakuna tiba iliyothibitishwa ni kuanzia dakika ya 2:44.

 
Check Hii link. Afu Acha ujuaji wasomi maandazi nyinyi. Yaani kila kitu mnapinga huu ugonjwa wa kuwa na low emotional intelligence.

We kima acha umburula wewe!! Tetea hoja badala ya kukimbilia matusi!! Kwenye link ulizoweka hivi ndivyo wanasema:-
Recent guidelines from South Korea and China report that chloroquine is an effective antiviral therapeutic treatment against Coronavirus Disease 2019.
What's Therapeutic Treatment?! Kimsingi hapo unatibu homa; it's like unapoumwa HIV ukaambiwa uwe unatumia dawa inayotibu magonjwa nyemelezi! Kama ulikuwa kitandani na baadae ukapata nafuu baada ya kutibu magonjwa nyemelezi haimaanishi kwamba umetibu UKIMWI bali ulichotibu ni magonjwa nyemelezi! Ni kutokana na huo ukweli ndio maana hata CDC kwenye link uliyoweka wewe mwenyewe wamesema:-
US CDC research shows that chloroquine also has strong potential as a prophylactic (preventative) measure against coronavirus in the lab, while we wait for a vaccine to be developed.
Wanakuambia hapo ni potential as a prophylactic (preventative) measure. Dawa kutumika as prophylactic (preventative) measure ni kama kutumia HIV antiviral ili kuzuia development to AIDS lakini sio kwamba umetibu UKIMWI! Kwa upande mwingine, WHO wameandaa document mzima in the form of Q&A na kuhusu Chloroquine, hivi wanasema:-
who.png


Na hata ukiingia kwenye website yao hapa, wanasisitiza:
To date, there is no vaccine and no specific antiviral medicine to prevent or treat COVID-2019. However, those affected should receive care to relieve symptoms. People with serious illness should be hospitalized. Most patients recover thanks to supportive care.

Possible vaccines and some specific drug treatments are under investigation. They are being tested through clinical trials. WHO is coordinating efforts to develop vaccines and medicines to prevent and treat COVID-19.

The most effective ways to protect yourself and others against COVID-19 are to frequently clean your hands, cover your cough with the bend of elbow or tissue, and maintain a distance of at least 1 meter (3 feet) from people who are coughing or sneezing.
Na usisahau zimetajwa dawa nyingi kama preventative measures, na bado zipo kwenye clinical trial lakini bado hakuna uthibitisho wa kitabibu kwamba dawa fulani inatibu COVID-19

Sasa endelea na ujinga wako uache miongozo inayotolewa kwa sababu unajua hata ukipata Corona, chloroquine unapata hata kwa jero!
 
Inakatisha tamaa kabisa kuwa na watu wa aina ya huyu mwanzisha mada.

Mpaka sasa corona virus haina tiba.

Trump kazungumzia majaribio ya chloroquin.

Watu wengine ni bure kabisa.
Jinga sana huyu jamaa! WHO wenyewe wamesema hadi sasa hakuna dawa iliyothibitishwa kutibu COVID-19 lakini mtu amekomaa na kuanza kutukana watu na ujuaji mwingi!!!
 
Hawa mabeberu wanaturudisha nyuma kunywa klorokwini,tusikubali wanataka tusizaliane ili waje kuichukua afrika (in palamagamba voice and eyes)
 
Nyani Ngabu,
Huyu Trump asitake kunikumbusha msteso ya Cloroquin, nani anataka habari za kuwashwa hadi kuji middle finger mbele za watu?
 
Back
Top Bottom