Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
- Thread starter
- #61
Tokea nijue huna akili, sipotezi muda kukujibu chochote.Wewe ndio mpumbavu,umesema Trump anateremesha watu,hivi una umri gani wewe?
Umeandika huu uzi kwa ushabiki wa kijinga sana,weka source ya hayo matamko uliyo yaandika wewe hapa,hakuna nchi inayotetemeshwa na rais wa nchi nyingine,inaonekana umetawaliwa na fikra za kitumwa,
Halafu si kila siku hapa hua mnasema kua US hua ina mipango yake haijalishi rais ni nani? Naona unapiga ngoma na kuicheza wewe mwenyewe.
BRAIN ROT 🚮