Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

Haya ya kukataza watu wasifanye siasa za kuropoka ulitakiwa kumuusia mwenyekiti wa chama cha lumumba
 
Tangu mwanzo kabla ya hii report nilibashiri kua iran wanacheza na majukwaa

Inakera sana umenunua jibwa kwa pesa ndefu kama mlinzi lenye mafunzo ya kijeshi halafu unakuta linabweka huku limefyata mkia nakurudi nyuma
Hata trump anacheza na majukwaa. Unafikiri Trump anaweza kukuambia ukweli ili aonekane ni dhaifu? Hujiulizi kwa nini kambi kombora zimeweza kupiga? Mifumo yao ya THAAD ilikua wapi leo hadi kombora zimeweza kupenetrate na kupiga kambi zao zenye kila aina ya ulinzi?
Funzo ni kuwa,ikitokea vita kila side lazima itaathirika,kila side watakufa,hakuna ulinzi usiowezwa kupigwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Press ilikua kwa ajili ya kuwa-inform amarica na ulimwengu kiujumla kuhusu uhuni wa iran

Kabla ya kununua silaha walitakiwa kujifunza shabaha kwanza
 
Kwani mbwa akibweka bila kung'ata kuna madhara?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trump kaua askari mmoja, Iran wametwanga base mbili kibabe

Askari wa marekani wana bahati walikimbia kambi mapema, wangechelewa tu wangekufa kama sisimizi. Waoga kweli hao jamaa
 
Beira Baby Boy ukiandika andiko kama hili 2alau weka facts mbili tatu. Japo naunga mkono hoja lakini hujaandika kwa hoja umeandika kwa mihemko alafu mambo haya hayatakagi mihemko.
Siyo mihemuko mkuu

Unajua watu wengi wanazan USA ni taifa lenye nguvu ukweli kwamba nguvu ya USA iko mdomon zaid na kwa nchi changa kama tz na Uganda lakin siyo kwa mabeberu wenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala haihitaji utaalamu, mzee alikuwa akitoa sauti flani sio nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna hitaji miwani kujua nani mnene kati ya JB na barnaba?

Kuna hitaji elimu gani kujua iran na marekani nani ananguvu?

Sikufichi tukiondoa mapenzi hata sisi hapa tukiliweka kati jwtz nakwambia iran hatoki
 
Achen story hayo madege jana na juzi alikuwa anayasomba ya kazi gan kuyapeleka mashariki ya kati?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…