Unaweza kutupa evidence au ni kukalilishwa tu kama madrasa?
One:- USA elfu 5 wapo Iraq... NI LINI WALIHAMA?After Ayatollah, Rouhani, then Soleiman in ranking of what was the Iran powerful men. Qassem kauwawa, unalipiza Kwa kupiga base walizo Hama, tena Kwa kuwapa Notice kua ntapiga hapa. That was face cover-up ili Iranians na dunia wajue kalipiza lakini alijua anachokifanya.
Something ambacho labda hukijui
Qassem Soleiman anlikua anaaminiwa Sana na Ayatollah na alikua popular Iran yote kiasi kwamba angekuja kumpindua unpopular president Rouhani. Kama unabisha angalia watu walivo uana kwenye mazishi yake. Qassem alikua anapewa misheni ambazo inabidi afe toka muda. Iran kumuua Qassem ingeleta non-stop protesters even hata ku asi government. Sasa kauawa Iraqi, Iran ana retaliate Kwa kupiga base ambazo Kwanza alitoa notice, harafu anajua wanajeshi hawapo,. serious???
Ilibidi Qassem afe na non-Iran involvement attack , ili kuzima protestation iliyopo na kumsingizia USA Kwa kuua kipenzi cha Iranians.
Sasa nani atamuua Soleiman....kuua kiongozi wa juu wa nchi ni assassination na maanayake unatangaza vita. Ili Qassem afe tufanyaje? Tumpe misheni za kuua wamarekani Middle east halafu USA inamuua kama Al-Baghdad
Hii ni win-win situation
USA wanajua wameua terror mkubwa wa muda mrefu, Yes
Iran wanajua tumesacrifice Powerful na popular person ambaye angetishia hata serikali. Yes.
Soleiman alikua anaaminiwa hata na jeshi..unazani kupindua Iran ingekua kazi ngumu kwake?
Ukiona General ni powerful and popular, Una sacrifice misheni ambazo hawezi kuachwa salama
Wangekua wanampenda Soleiman ilibidi awe retired official tayari maana kahudumu mission za middle East muda mrefu sana
Kama kichwa maji mission kama hizi huwezi kuelewa.
IntimidationAchen story hayo madege jana na juzi alikuwa anayasomba ya kazi gan kuyapeleka mashariki ya kati?
Sent using Jamii Forums mobile app
IRAN anathubutuje kutunisha msuli mbele ya mmarekani?Siyo mihemuko mkuu
Unajua watu wengi wanazan USA ni taifa lenye nguvu ukweli kwamba nguvu ya USA iko mdomon zaid na kwa nchi changa kama tz na Uganda lakin siyo kwa mabeberu wenzie
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaaaaaKuna hitaji miwani kujua nani mnene kati ya JB na barnaba?
Kuna hitaji elimu gani kujua iran na marekani nani ananguvu?
Sikufichi tukiondoa mapenzi hata sisi hapa tukiliweka kati jwtz nakwambia iran hatoki
Unacheo gani hapo PentagonUmesema sana ya trump na marekani kiujumla ngoja nami niseme ya iran
Hivi iran inachezaje draft peke yake na kujitangaza kua mshindi?
Unanunua makombora kwa bei kubwa unatumia mabilion ya dollar halafu unalenga off target halafu unapotosha umma kua umelenga on target?
Lengo lao hapo lilikua nini haswa?
Thibitisha.Wake up mkuu huu ni mchongo...ayatollah aliwasiliana na Whitehouse kuwa atapiga base ipi na ipi ili waondoe askari. . that way Iranians wanafurahi revenge na us haina casualties.... Its a win win situation
Tatizo ni kwamba vita haina drawNataka kujua tu
Makampuni ya kubeti wamewekaje hili ili nijifunze kuchora mkeka tuu
Nimechoshwa na biko
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanishusha cheo kwa kuniambia "nina cheo gani" wakati nina vyeo
Yaani Iran kanichekesha sana,mbaya zaidi anadai eti Wanajeshi 80 wameuawa katika shambulizi wakati hizo bases zinakaliwa na Wanajeshi wa Iraq, U.K, Germany na Canada na hao wengine hawajakufa wala kujeruhiwa hata mmoja.Umesema sana ya trump na marekani kiujumla ngoja nami niseme ya iran
Hivi iran inachezaje draft peke yake na kujitangaza kua mshindi?
Unanunua makombora kwa bei kubwa unatumia mabilion ya dollar halafu unalenga off target halafu unapotosha umma kua umelenga on target?
Lengo lao hapo lilikua nini haswa?
We jamaa umekomaa na kubeza elimu za watu mtandaoni as if tuko hapa kuonyeshana nani alifaulu sana kuliko mwenzie! Hujishangai kwamba kwamba hamna jf inapoelekeza uweke copy za vyeti hapa kama sharti mojawapo la kufungua account. Punguza ujuaji maana mwisho wa siku utaeleweka kama mjivuni wa elimu moja ya tabia za kishamba sanaHahaha Kwani USA ilipoivamia Libya Trump ndio alikuwa raisi ???
Kwa taarifa yako tangu trump ameingia madarakani wanajeshi wengi wamepunguzwa Iraq .. Jamaa Sera zake sio Vita ... Nenda kasome vizuri ndugu yangu ...
Libya ilivamiwa chini ya Barack Obama na Hilary Clinton... Iraq ilivamiwa na George Bush ...
Huwa Nasikitika Sana kuona vijana wa Tanzania tunashindwa kujua vitu vidogo hivi vilivyoko Google ... Napata maswali hivi miaka 20 ijayo tutakuwa na taifa la namna gani .. itakuwa taifa la mazuzu au mang'ombe yasiyojua Geopolitical issues ... Ukikaa na mkenya hata alieishia primary school ana exposure kubwa ya mambo kushinda sisi ... Kama taifa tusipochukua hatua tutatawaliwa tena haki ya mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1316438Lengo lao lilkua kuzipiga kambi nawamefanikiwa kwa 100% Kama Wangekua Off Target Leo Hii Trumpet Asingefanya Press...The United States just spent Two Trillion Dollars on Military Equipment. We are the biggest and by far the BEST in the World! If Iran attacks an American Base, or any American, we will be sending some of that brand new beautiful equipment their way...and without hesitation!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona na kusoma?Hivi inakuwaje taarifa zote ziseme kuwa kambi za marekani zimeshambuliwa na huku pentagon ikikiri kuwa kambi zao zimeshambuliwa alafu anaibuka mtu huko anakuja kutuaminisha ilikuwa off tagert! Yan ushushe kombora kambi ya lugalo pale kwa mfano na CDF akiri kuwa lugalo imeshambuliwa then anakuja ngosha anasema makombora yalikuwa of target...! Yan yameangukia tanki bovu pale au mwenge! Hahaha usa kwa propaganda ajambo aisee