Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

After Ayatollah, Rouhani, then Soleiman in ranking of what was the Iran powerful men. Qassem kauwawa, unalipiza Kwa kupiga base walizo Hama, tena Kwa kuwapa Notice kua ntapiga hapa. That was face cover-up ili Iranians na dunia wajue kalipiza lakini alijua anachokifanya.

Something ambacho labda hukijui

Qassem Soleiman anlikua anaaminiwa Sana na Ayatollah na alikua popular Iran yote kiasi kwamba angekuja kumpindua unpopular president Rouhani. Kama unabisha angalia watu walivo uana kwenye mazishi yake. Qassem alikua anapewa misheni ambazo inabidi afe toka muda. Iran kumuua Qassem ingeleta non-stop protesters even hata ku asi government. Sasa kauawa Iraqi, Iran ana retaliate Kwa kupiga base ambazo Kwanza alitoa notice, harafu anajua wanajeshi hawapo,. serious???

Ilibidi Qassem afe na non-Iran involvement attack , ili kuzima protestation iliyopo na kumsingizia USA Kwa kuua kipenzi cha Iranians.


Sasa nani atamuua Soleiman....kuua kiongozi wa juu wa nchi ni assassination na maanayake unatangaza vita. Ili Qassem afe tufanyaje? Tumpe misheni za kuua wamarekani Middle east halafu USA inamuua kama Al-Baghdad

Hii ni win-win situation

USA wanajua wameua terror mkubwa wa muda mrefu, Yes


Iran wanajua tumesacrifice Powerful na popular person ambaye angetishia hata serikali. Yes.

Soleiman alikua anaaminiwa hata na jeshi..unazani kupindua Iran ingekua kazi ngumu kwake?

Ukiona General ni powerful and popular, Una sacrifice misheni ambazo hawezi kuachwa salama

Wangekua wanampenda Soleiman ilibidi awe retired official tayari maana kahudumu mission za middle East muda mrefu sana

Kama kichwa maji mission kama hizi huwezi kuelewa.
One:- USA elfu 5 wapo Iraq... NI LINI WALIHAMA?

2. Teran ilitoa idadi ya sehemu watakazo piga ila sio location...
HIYO DIFINED TARGET ILITOKA LINI?

#YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa naogopa sana endapo angetangaza vita na Hawa Jamaa.


Wakati naimalika kiuchumi kisawa sawa..Hawa Jamaa wanataka kuivuruga dunia..Daah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi inakuwaje taarifa zote ziseme kuwa kambi za marekani zimeshambuliwa na huku pentagon ikikiri kuwa kambi zao zimeshambuliwa alafu anaibuka mtu huko anakuja kutuaminisha ilikuwa off tagert! Yan ushushe kombora kambi ya lugalo pale kwa mfano na CDF akiri kuwa lugalo imeshambuliwa then anakuja ngosha anasema makombora yalikuwa of target...! Yan yameangukia tanki bovu pale au mwenge! Hahaha usa kwa propaganda ajambo aisee
 
Achen story hayo madege jana na juzi alikuwa anayasomba ya kazi gan kuyapeleka mashariki ya kati?

Sent using Jamii Forums mobile app
Intimidation

hata psychology huijui

Umeua high ranking official wa nchi flani, unajua kabisa liwake jua, inyeshe mvua hawa wata retailate ( ukiachana na mission ya huyo retaliater mwenyewe, whether ata au hata).

Kwahiyo unamtisha ili hatakama aki retaliate aogope kufanya crisis escalation na kuleta vita.

Ile ni intimidation na nikawaida unamtisha adui kua akilipa napiga tena.

Irani alijua tu, nikilipa full scale hapa, lazima itaniback fire totally and fury. Ko akamwambia napiga military base mbili, hii na hile.

Trump alimwambia Iran kua atamuua Soleiman? Nope

Atapiga Iraqi Airport? Nope.

Kwanini Irani aseme base gani atapiga??


Trump alosema Iran akilipa napiga zaidi at full scale yaani napiga ambacho Irani hawezi taka kukipoteza

Je haya Trump amesema ata retaliate baada ya base kupigwa? Nope

Kwanini? Mkwara au pre warning imefanya kazi ( military aircraft exercises na maneno) plus Iran retaliation haijaua mu-USA

Hapo Soleiman katolewa kafala , mrithi wa Soleiman hana hata ushwawishi Iran au Kwa Rouhani

Irani government haitaki tena mapinduzi. Ukiwa popular na powerful official unapewa misheni Tu.
 
Siyo mihemuko mkuu

Unajua watu wengi wanazan USA ni taifa lenye nguvu ukweli kwamba nguvu ya USA iko mdomon zaid na kwa nchi changa kama tz na Uganda lakin siyo kwa mabeberu wenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
IRAN anathubutuje kutunisha msuli mbele ya mmarekani?

America ingekua na nguvu mdomoni basi isingem-attack kasimu, IRAN isingekua na mdomo ingelipisha na sio kupiga off target
 
Trump kawafanya timu amerika kuikimbia jf.
 
Umesema sana ya trump na marekani kiujumla ngoja nami niseme ya iran

Hivi iran inachezaje draft peke yake na kujitangaza kua mshindi?

Unanunua makombora kwa bei kubwa unatumia mabilion ya dollar halafu unalenga off target halafu unapotosha umma kua umelenga on target?

Lengo lao hapo lilikua nini haswa?
Unacheo gani hapo Pentagon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wake up mkuu huu ni mchongo...ayatollah aliwasiliana na Whitehouse kuwa atapiga base ipi na ipi ili waondoe askari. . that way Iranians wanafurahi revenge na us haina casualties.... Its a win win situation
Thibitisha.

Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
 
Nataka kujua tu
Makampuni ya kubeti wamewekaje hili ili nijifunze kuchora mkeka tuu
Nimechoshwa na biko

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kwamba vita haina draw

Halafu hata makampuni ya kubetisha hawawezi kukubali kupata hasara kipumbavu hivi

Hata hawa unaowaona wanaishabikia IRAN hawatabeti kwa kumpa IRAN watamkana kwa kuangalia maslahi yao kwasababu ukweli wanaujua ila hapa wanachangamsha genge tu
 
Umesema sana ya trump na marekani kiujumla ngoja nami niseme ya iran

Hivi iran inachezaje draft peke yake na kujitangaza kua mshindi?

Unanunua makombora kwa bei kubwa unatumia mabilion ya dollar halafu unalenga off target halafu unapotosha umma kua umelenga on target?

Lengo lao hapo lilikua nini haswa?
Yaani Iran kanichekesha sana,mbaya zaidi anadai eti Wanajeshi 80 wameuawa katika shambulizi wakati hizo bases zinakaliwa na Wanajeshi wa Iraq, U.K, Germany na Canada na hao wengine hawajakufa wala kujeruhiwa hata mmoja.
Screenshot_20200108-205437.jpeg


Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha Kwani USA ilipoivamia Libya Trump ndio alikuwa raisi ???

Kwa taarifa yako tangu trump ameingia madarakani wanajeshi wengi wamepunguzwa Iraq .. Jamaa Sera zake sio Vita ... Nenda kasome vizuri ndugu yangu ...


Libya ilivamiwa chini ya Barack Obama na Hilary Clinton... Iraq ilivamiwa na George Bush ...


Huwa Nasikitika Sana kuona vijana wa Tanzania tunashindwa kujua vitu vidogo hivi vilivyoko Google ... Napata maswali hivi miaka 20 ijayo tutakuwa na taifa la namna gani .. itakuwa taifa la mazuzu au mang'ombe yasiyojua Geopolitical issues ... Ukikaa na mkenya hata alieishia primary school ana exposure kubwa ya mambo kushinda sisi ... Kama taifa tusipochukua hatua tutatawaliwa tena haki ya mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa umekomaa na kubeza elimu za watu mtandaoni as if tuko hapa kuonyeshana nani alifaulu sana kuliko mwenzie! Hujishangai kwamba kwamba hamna jf inapoelekeza uweke copy za vyeti hapa kama sharti mojawapo la kufungua account. Punguza ujuaji maana mwisho wa siku utaeleweka kama mjivuni wa elimu moja ya tabia za kishamba sana
 
Lengo lao lilkua kuzipiga kambi nawamefanikiwa kwa 100% Kama Wangekua Off Target Leo Hii Trumpet Asingefanya Press...The United States just spent Two Trillion Dollars on Military Equipment. We are the biggest and by far the BEST in the World! If Iran attacks an American Base, or any American, we will be sending some of that brand new beautiful equipment their way...and without hesitation!

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1316438
_110437787_iranmissile.jpeg


Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
 
Hivi inakuwaje taarifa zote ziseme kuwa kambi za marekani zimeshambuliwa na huku pentagon ikikiri kuwa kambi zao zimeshambuliwa alafu anaibuka mtu huko anakuja kutuaminisha ilikuwa off tagert! Yan ushushe kombora kambi ya lugalo pale kwa mfano na CDF akiri kuwa lugalo imeshambuliwa then anakuja ngosha anasema makombora yalikuwa of target...! Yan yameangukia tanki bovu pale au mwenge! Hahaha usa kwa propaganda ajambo aisee
Umeona na kusoma?
_110437787_iranmissile.jpeg
Screenshot_20200108-205437.jpeg


Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom