Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Kuhuse swali la pili iran wanazo sensor ambazo zina detect the presence of stationary humans by detecting body heat kama hujui hilo basi umepitwa na wakati.Iran baada ya kushambulia baadhi ya kambi mbili za Marekani nchini iraq wakaja na taari
2.Ziko wapi evidence za ku prove kuwa ni kweli wameua raia wa Marekani na walikuwa 80.
3.Je hao watu 80 wanauzito sawa na kifo cha jenerali wao.Kwanini wasiue moja ya viongozi wakubwa wa USA kama kulipa kisasi kuliko kuuwa watu 80 wasio na effect yoyote?
Iran bado ina tapatapa
Kuhusu swali la tatu hao 80 we unadhani wote ni vifaranga hakuna mijogoo, hakuna silaha zenye thamani kuliko General mmoja wa Iran basi utakuwa umeota. Inatosha aibu tu kuwa hakuna hata nchi katika dunia kamsogelea US kumkuna lakini Irani kamcharaza bokora 20 na dunia nzima wameona. Afu US embassador kule Israel alisema kuna few casualities kutokana na infom alizo pata na Trump anasema hakuna sa nani amumini US.