Imepiga magofu ya kambiMawazo yako ni mgando mkuu. Osama alikua anaongoza kikundi cha mafichoni,siyo nchi. Ni guerilla war. Iran ni nchi kamili na imeutangazia ulimwengu mchana kweupe kama nchi,tumepiga kambi zenu na siyo THAAD au chochote kimeweza kuzuia makombora kuhit targets.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Iran walishawahi kuua wanajeshi 300 wa US mwaka 1983,US akabaki aruka ruka tu.Wakina Osama washalipua WTC achana na uyo Iran anaruka ruka tu...
The Great America...[emoji562][emoji562]
Sent using Jamii Forums mobile app
Trump anasema US army ndio ina bajeti kubwa dunia nzima lkn kumbe wanajeshi wake huko Iraq wanaishi kwny magofu,inasikitisha sana.Imepiga magofu ya kambi
Trump anasema US army ndio ina bajeti kubwa dunia nzima lkn kumbe wanajeshi wake huko Iraq wanaishi kwny magofu,inasikitisha sana.
dodge
Si kila umuonaye humu jukwaani hushinda katika hivyo "vijiwe" vyenu.
Naumia sana maana naona kule twitter Trump ameingia mitini kwa aibu kuu.
Naumia sana maana naona kule twitter Trump ameingia mitini kwa aibu kuu.
dodge
Wamezuia kwa muda account yake maana atamwaga kila kitu hazaraniNaumia sana maana naona kule twitter Trump ameingia mitini kwa aibu kuu.
dodge
Hahah ameaibika sana aisee.
Akirudi ataishia tu kusema COVFEFE..
Uzito Wa Roho Zote Sawa Mtu Mmoja Atabakia Kua Mmoja Na Watu 80 watabakia kama walivyoIran baada ya kushambulia baadhi ya kambi mbili za Marekani nchini iraq wakaja na taarifa kuwa wameuwa raia 80 wa Marekani.
Sasa ili kujua kuwa iran ni waongo watuambia haya yafuatayo:
1.Waliwezaje kuwa hesabu hao maiti waliowaua?
Yaani walitumia njia gani kujua kuwa walikuwa 80.
2.Ziko wapi evidence za ku prove kuwa ni kweli wameua raia wa Marekani na walikuwa 80.
3.Je hao watu 80 wanauzito sawa na kifo cha jenerali wao.Kwanini wasiue moja ya viongozi wakubwa wa USA kama kulipa kisasi kuliko kuuwa watu 80 wasio na effect yoyote?
Iran bado ina tapatapa
Inaonesha imekuuma sana jamaa kufanikiwa kuhit target,ndo hivyo huyo ndiyo Iran,akisema kasema hataniii,haijalishi ni magofu au kambi,ili mradi kombora zimepiga.Imepiga magofu ya kambi
Mbona unafanya assumptions tuu
Sio assumption huo ndio ukwel, ila naona wewe ndio una mahaba na USA bila kujua agenda zao za siri ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app