Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

Trump ametumia busara kubwa mno maana kaweka wazi kabisa kuwa uwezo wa kumpiga Iran anao...

Ila ameangalia kuhusu ndoto za vijana wa IRAN maana angeipiga Iran kwa namna moja angefanya maisha ya iran kuwa magumu na hili lingepelekea ndoto za vijana wa iran wasio na hatia kufutika...

Hivyo niipongeze Marekani na Rais Donald Trump kuliangalia hili...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
IRAN Hakuwahi Na Hatawahi Kulazimisha VITA
Mzee kapoa jamani msihofu hakuna Vita labda Iran ilazimishe
The United States just spent Two Trillion Dollars on Military Equipment. We are the biggest and by far the BEST in the World! If Iran attacks an American Base, or any American, we will be sending some of that brand new beautiful equipment their way...and without hesitation!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IRAN Anawaelewa Hao Wauaji Wakimagharibi Zaidi Yawanavyojielewa Wenyewe Na Alisha Waambia Yakwamba Watakapo Mjaribu Hatakaa Kimya Ila Hana Mipango Yakuanzisha VITA na Mtu
Iran kumbe wanatisha hivi...hii soft tune ya Trump sikuitegemea.!!!
====
Lakini nadhani watakuwa wanaplan more 'evil' dhid ya Iran. Iran must not be ease to this soft bait!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waoga? Kapiga military base baada ya mikwara yote ya Trump na kasema kuwa ni yeye bado unamuita muoga? Dah kwa kujipa moyo... US anajiepusha kuingia vitani ashajua kuwa Iran yuko tayari na si ajabu anajua kuwa kuna sababu inayompa kiburi Iran siyo kawaida sasa hapa anafanya damage control ya kuikimbia vita eti angeua hata askari mmoja?
US this time kapatikana allikuwa kazoea washika waaarab makalio sasa kakutana na Muajemi
Hakuna kitu,Trump kashaua yule kamanda wao kafanikisha lengo lake.
 
Aman iwe nanyi

Huo ndo ukweli kwamba America ni baba wa Uoga ulimwengun wala hana uwezo wa kuingia vitan na nchi kubwa kama Iran

Kazoea kuonea vidaa tu manyangumi hawawezi

Poor America

Poor trump

Big up Ayatollah

Hands up Iran


Tumeshinda bye bye


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais mwenye maneno mengi trump ameibuka na kudai hakuna hasara wala maafa kwa shambulizi la irani badala yake ametaka vikwazo viongezwe zidi ya iran
 
"The American people should be extremely grateful and happy. No Americans were harmed in last night's attack by the Iranian regime," Mr. Trump said, adding that "only minimal damage was sustained at our military bases."
 
Back
Top Bottom