theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Trump ametumia busara kubwa mno maana kaweka wazi kabisa kuwa uwezo wa kumpiga Iran anao...
Ila ameangalia kuhusu ndoto za vijana wa IRAN maana angeipiga Iran kwa namna moja angefanya maisha ya iran kuwa magumu na hili lingepelekea ndoto za vijana wa iran wasio na hatia kufutika...
Hivyo niipongeze Marekani na Rais Donald Trump kuliangalia hili...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ameangalia kuhusu ndoto za vijana wa IRAN maana angeipiga Iran kwa namna moja angefanya maisha ya iran kuwa magumu na hili lingepelekea ndoto za vijana wa iran wasio na hatia kufutika...
Hivyo niipongeze Marekani na Rais Donald Trump kuliangalia hili...
Sent using Jamii Forums mobile app