Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clinton alishindaje?Hapana Trump!
Inategemea wenye nchi wanataka nani awe Rais!
Kumbuka hasta secretary Clinton alishinda dhidi ya Trump.lakini Trump akapewa!!
Popular votes akashindwa house of representatives votes!Clinton alishindaje?
Duh 🤣!Popular votes akashindwa senator votes!
Huyo kamara haris anapata umaarufu TU kama WA secretary Clinton!lakini anaweza shinda popular votes akashindwa house of representatives votes!Uko sahihi ila kwa siasa za wenzetu ni tofauti,,,,lolote linaweza kutokea na kushangaza pia.
Wanasema, 'Haijaisha mpaka itakapoisha'.
Kura za majimbo namaanisha !labda niseme house of representatives ndio utanielewa!!Duh 🤣!
Senator votes ndo nini?
Kuna vituko sana humu.
Yaani.Clinton alishindaje?
Watatumia kura za house of representatives kumshindisha Trump hata kama Harris akishinda popular votes!KWa hali ilivyo duniani saiv,Marekani hawawezi kumpa nchi Mama harris
Japo Kamala Harris Hana ushawishi mkubwa sana Kama Donald Trump, lakini ni vyema Sana kwa Wananchi wa Marekani wamchague Mama huyu kuwa Rais wao, Trump atawatia misukosuko sana endapo kama watamchagua tena kuwa Rais wao.View attachment 3089590View attachment 3089592View attachment 3089591
Safari ya Donald Trump kuelekea White House bado ngumu
Bado Republican Walikosea kumsimamisha Trump. Alikutana tu na weak opponent Joe Biden.
Sasa anapambana na mtu mwenye misuli ya Kisiasa na Mwanasheria. Ni ngumu Sana Kutoboa
Hivi unaelewa kweli namna Mfumo wa Uchaguzi wa Rais wa nchi ya Marekani ulivyo?Watatumia kura za house of representatives kumshindisha Trump hata kama Harris akishinda popular votes!
Pamoja na kwamba namuunga mkono Harris ila uchaguzi wa Marekani hauamuliwi na kura za maoni tena mbaya zaidi wanakaribiana sana na mda Bado sana.View attachment 3089590View attachment 3089592View attachment 3089591
Safari ya Donald Trump kuelekea White House bado ngumu
Bado Republican Walikosea kumsimamisha Trump. Alikutana tu na weak opponent Joe Biden.
Sasa anapambana na mtu mwenye misuli ya Kisiasa na Mwanasheria. Ni ngumu Sana Kutoboa
Kwa jamii ya Watu waliostaarabika, kumchagua Trump kuwa Rais wa nchi ni makosa makubwa sana.Kamala hajamshinda Trump kwa chochote ni kwa vile media zipo upande wa blue.
Ila Trump anakubalika sana kwa sasa USA.
Hapa ndipo mnajichanganyaga,hizo kura za maoni ni kwenye majimbo Makuu ya uamuzi wanaita swing states ambako Harris anaongoza.Hapana Trump!
Inategemea wenye nchi wanataka nani awe Rais!
Kumbuka hasta secretary Clinton alishinda dhidi ya Trump kwenye popular votes lakini Trump akapewa coz alishinda kwenye kura za house of representatives!
Porojo za kijinga za Samia ni dhaifu saizi mnalia kama Watoto baada ya kufinywa 😂😂KWa hali ilivyo duniani saiv,Marekani hawawezi kumpa nchi Mama harris
Trump anashinda mapema tu, hiyo nchi INA mfumo Dume kwenye nafasi ya UraisiHapana Trump!
Inategemea wenye nchi wanataka nani awe Rais!
Kumbuka hasta secretary Clinton alishinda dhidi ya Trump kwenye popular votes lakini Trump akapewa coz alishinda kwenye kura za house of representatives!