Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

Kikawaida maisha ya uswahilini huwa wanapata furaha kubwa moyoni wanapoona unaishi Kama Selemani wa Mbosso khan, au Toto Idd wa Juma Nature

So unachofanya wewe kuwa na nidhamu na kudili na mambo yako lazima uibue mgogoro wa nafsi

Na wakikukosa katika rada zao watakutegea Mwanamke na hapo ndo itakuwa mwisho wako wa the rise and fall of Portuguese

So fanya hivi
Pray pray pray
Usitembee na KE kutoka the same street
Usiwe na mazoea na watoto wao wadogo
So fanya hivi
Pray pray pray
Usitembee na KE kutoka the same street

Usiwe na mazoea na watoto wao wadogo
 
Hapo utajidanganya ! kila binadamu ana tabia hizo(wivu na chuki) , watoto wako wafundishe jinsi ya kuishi na watu kwa vile tabia ni zile zile .

Hakuna sehemu hamna wivu wala chuki hii ni maana halisi ya changamoto na mapambano ya duniani , asiyekuonea wivu ni mbaya kwa kiasi fulani kwa sababu ananufaika na wewe moja kwa moja ;wazazi , familia yako.

Kuwa makini bora uteswe na umaskini wako ila sio mambo ya urafiki na binadamu utapoteza muda ..Hii ndiyo dunia kuna mengi mazito.
Mkuu tunapambana kutoka kwenye chain za umaskini kwa hali ngumu sana..

Imagine tumezima location za ndgu wasijue tulipo lakini tunakutana na visanga vya marafiki.

Mtu anakupokea vzri ila kadri unapozidi kuwaka kuwa higher than him hapo anaanza kuleta vimbwanga..

Njia ya mafanikio ni despline na mtu hana hii na bado anataka muwe sawa seriously
 
Hii umenikumbusha mbali nimelazimika kuhama mkoa na kubadili kituo Cha kazi.. rafiki yangu wa karibu why why anifanyie hivi
Ridhki mwanzo wa chuki
Ilikuaje mkuu...
Ebu tupe story kidogo
 
Mkuu tunapambana kutoka kwenye chain za umaskini kwa hali ngumu sana..

Imagine tumezima location za ndgu wasijue tulipo lakini tunakutana na visanga vya marafiki.

Mtu anakupokea vzri ila kadri unapozidi kuwaka kuwa higher than him hapo anaanza kuleta vimbwanga..

Njia ya mafanikio ni despline na mtu hana hii na bado anataka muwe sawa seriously
Miaka kadhaa nyuma nilikuwa na jamaa kama rafiki wa kazini ,tulifanya mengi kimtindo kwa kushare fursa mbalimbali.

Jamaa kipind fulani kulikuwa na mchongo wa watu kadhaa kutemeshwa pale kazini ,jamaa alikuwa jikoni ila akanificha baadaye akapotea kama miezi miwili kumbe walipewa offer ya kuhama sehemu nyingine...Jamaa alinichunia hakuniambia mpaka ishu umebuma na wengi walishtuana wakaenda sehemu nzuri.

Mwana aliuchuna ila kawaida siamini mtu ambaye sikucheza naye udogoni never. Nilipata sehemu nzuri mpaka sasa ila jamaa alishindwa kunisanua mapema ,mchizi alianza ubinafsi alipooa tu .

Sikuumia najua ya kawaida ,ila alinichek nikamchana na tukaacha mawasiliano tangu siku hiyo almost miaka 5 sasa.
 
Mimi nawapenda sana Tena sana wanazid kunipa kunguvu ya kupambana mwenyez Mungu amekua mbele kwenye ridhiki zangu basi nawaona wanaumia mno nawaombea maisha marefu
Daaah sasa unapambana nao vipi kama mtu anaanza kukudhuru kabisa mkuu
 
Kama ni mtu wa Dini,rafiki mwema ni Mungu pekee,kwa wakristo Yesu ndie rafiki mwema!wapi wenye Roho Safi,kuwapata ni kipengere,Ishi na watu kwa hekima na Heshima ,kuwa makini na maneno na Matendo pia!
Asante sana wa nyumbani....
Rafiki wa kweli ni wewe mwenyewe tuu
 
Mkuu acha kabisa mtu unajarbu na kumsaidia kabisa kumbe ule msaada wako anaona kama unakosea anataka wote muwe chini..

Chuki za nini kama una chako na mimi nina changu aiseee..
Hii imeniuma sana sana sana an
Yaani ninavyokwambia mimi maisha yangu nilijitoa rehani kwa ajili ya kusaidia ndugu,yaani nilikuwa na ile mentality ya ujamaa kama ya mwalimu nyerere yaani mali yangu ni mali yetu wote,nikawa nimekula kiapo kuwainua ndugu iwe kielimu na kibiashara kuhusu mitaji lakini haikusaidia kitu kumbe wenzangu wana chuki zao moyoni mimi sijui nikawa najifariji tu vile tunavyocheka,wananipa moyo kinafki na matabasamu feki.
Yaani huwezi amini nilikuja kugundua kuwa niko na maadui baada ya miaka 20,ikaniachia mshangao kichwani ambao haufutiki na furaha yangu kwa sasa ni kukaa nao mbali maana nikiwaona moyo wangu unalipuka na tunashindwa hata kuangaliana usoni.
Hapa ndipo nilijua maana ya ule msemo wa "kuwa uyaone"
 
Eti trust no one, unajidanganya;
1. Unapanda ndege hata hujui rubani ni nani na anafananaje..!!
2. Unapanda bodaboda hujui kama ana leseni au la..!!
3. Unafnyiwa operesheni na daktari usiyemjua..!!
4. Unakula chakula kwa kumuamini aliyepika hajaweka sumu
5. Unapanda boti hata humjui anayeliendesha
etc
Wee jamaa kuna kitu ujaelewa...
 
Miaka kadhaa nyuma nilikuwa na jamaa kama rafiki wa kazini ,tulifanya mengi kimtindo kwa kushare fursa mbalimbali.

Jamaa kipind fulani kulikuwa na mchongo wa watu kadhaa kutemeshwa pale kazini ,jamaa alikuwa jikoni ila akanificha baadaye akapotea kama miezi miwili kumbe walipewa offer ya kuhama sehemu nyingine...Jamaa alinichunia hakuniambia mpaka ishu umebuma na wengi walishtuana wakaenda sehemu nzuri.

Mwana aliuchuna ila kawaida siamini mtu ambaye sikucheza naye udogoni never. Nilipata sehemu nzuri mpaka sasa ila jamaa alishindwa kunisanua mapema ,mchizi alianza ubinafsi alipooa tu .

Sikuumia najua ya kawaida ,ila alinichek nikamchana na tukaacha mawasiliano tangu siku hiyo almost miaka 5 sasa.
Wana jau sana..
Imagine mwana kama huyo ile roho anapata wapi et...
Mi mwana namsaidia kwa moyo mmoja kumbe an lake jambo..

Anafurahi mimi napopata majanga
 
Mkuu tunapambana kutoka kwenye chain za umaskini kwa hali ngumu sana..

Imagine tumezima location za ndgu wasijue tulipo lakini tunakutana na visanga vya marafiki.

Mtu anakupokea vzri ila kadri unapozidi kuwaka kuwa higher than him hapo anaanza kuleta vimbwanga..

Njia ya mafanikio ni despline na mtu hana hii na bado anataka muwe sawa seriously
Naomba link ya Uzi wa Robert Heriel Mtibeli aliozungumzia kuzima Location.
 
Back
Top Bottom