Tanzania kuanzia January hadi Desemba tunajadili madaraka na vyeo.Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.
Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.
Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
At least watakuelewaMbona na yeye aliondoa wa Kikwete? Kila kiongozi akija anaunda safu yake...Acheni kumnanga maza hata wewe ukiingia ikulu utapangua safu na kuweka nyingine.
Kwanza wamebebwa sana.Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.
Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.
Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Kabisa,muda wao wa usnitch ulishapitaKwanza wamebebwa sana.
Walipaswa kupigwa chini kitambo sana.
Majaliwa sijui anafanya nini pale.
Akina Mwigulu walipaswa pia kuchinjiwa baharini kitambo
Mbona January Makamba HujamtajaKwanza wamebebwa sana.
Walipaswa kupigwa chini kitambo sana.
Majaliwa sijui anafanya nini pale.
Akina Mwigulu walipaswa pia kuchinjiwa baharini kitambo
Time will tellMbona January Makamba Hujamtaja
Ndiyo maana ni nchi ya Dunia ya tatu,mambo yasiyo na tija yanajadiliwa kwa kutumia nguvu kubwa sana kuliko ya maanaTanzania kuanzia January hadi Desemba tunajadili madaraka na vyeo.
Maendeleo yanajadiliwa kipindi cha Bunge
Huyo alishapigwa chini kafufuliwa na genge la JK tu.Mbona January Makamba Hujamtaja
Teuzi za leo zimefanyika kupoozesha taarifa ya LATRANdiyo maana ni nchi ya Dunia ya tatu,mambo yasiyo na tija yanajadiliwa kwa kutumia nguvu kubwa sana kuliko ya maana
Bunge lipi hilo ?, hili hili linalotokana na uchafuzi wa mwaka 2020 ?Tanzania kuanzia January hadi Desemba tunajadili madaraka na vyeo.
Maendeleo yanajadiliwa kipindi cha Bunge
LATRA kunani?Teuzi za leo zimefanyika kupoozesha taarifa ya LATRA
😀😀 Wengine wanaumia wengine wanaenda kula keki ya taifaTeuzi za leo zimefanyika kupoozesha taarifa ya LATRA
"Mh Spika naomba uniruhusu nibinuke sarakasi"Tanzania kuanzia January hadi Desemba tunajadili madaraka na vyeo.
Maendeleo yanajadiliwa kipindi cha Bunge