Trusted Lieutenants wa Hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa, amebaki nani?

Trusted Lieutenants wa Hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa, amebaki nani?

Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.

Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.

Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Na Katanga naye ni wa JPM? Dr. Kusiluka mbona alikuwa katibu wa Rais toka enzi za JPM? Ni hivi, kila mtu anaangalia mambo ya dunia kutokana na anachoamua kufikiri.
Ukitaka watu wote wa JPM watoke, itabidi hata mkuu wa kaya akae nje
 
Huyo alishapigwa chini kafufuliwa na genge la JK tu.
Ni awamu yao ya Mbeleke
Cc
Abdala
Rajabu
Mwajuma
Keki kubwa ni yao tuvumilie tu
Chuki,roho mbaya na ubaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu ndio zinawaumiza,hata Samia mnamchukia kwa sababu ya dini yake na Uzanzibari wake na wala sio utendaji kazi wake.Huo ndio ukweli.
Povu ruksa.
 
Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.

Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.

Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Gerson Msigwa na Hassani Abbas, haya mapopoma sijui kwanini mama anayakawiza
 
Chuki,roho mbaya na ubaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu ndio zinawaumiza,hata Samia mnamchukia kwa sababu ya dini yake na Uzanzibari wake na wala sio utendaji kazi wake.Huo ndio ukweli.
Povu ruksa.
Daaah umemwaga povu la sgr
 
Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.

Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.

Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Mambo ni Yale Yale,

Divai mpya ndani ya kiriba kichakavu,

CCM ni Ile Ile, hakuna TIJA itaonekana Hadi tupate KATIBA mpya na kufa Kwa CCM.
 
Viashiria vya udini taratibu vinachipukia!![emoji3166]
Nyinyi wabaguzi saaaana! wakichaguliwa Waislamu kidogo tu nongwa!
ametolewa balozi mkristo akaenda muislamu na ametolewa katibu kiongozi muislamu anawekwa mkristo udini uko wapi hapo?
 
Mungu umpa amtakaye utakonda bure.
Wa kukonda ni wewe tu.
Kwani si suala muda tu?
Pili akiongoza mkristo ataniletea pesa mfukoni?

Lakini waambieni wanaopata nafasi waache ugoigoi.
Redodi ya Mwinyi ni hovyo...rushwa tupu
Rekodi ya kikwete hovyo...rushwa tupu
SAmia uelekeo ulele...acheni uzwazwa chapeni kazi huku mkiingizana akina Abdala watupu.
Mmepooza kama maboga😄😄
 
TATIZO la udini unaodaiwa kuwepo nchini umeelezewa kuwa ni propaganda inayotumika kuficha udhaifu wa kiuongozi ili wananchi waache kujadili
mambo ya msingi ya taifa, ikiwemo chama kilichoko madarakani kushindwa kutekeleza ahadi zake kwa miongo mitano iliyopita.

Imeelezwa kuwa wananchi wa Tanzania wanaendelea kuishi kwa amani, upendo na mshikamano bila kujali tofauti zao za kidini, hivyo viongozi nchini wametakiwa kuacha kuwagawanya Watanzania kwa manufaa yao ya kisiasa.
 
Kwanza wamebebwa sana.
Walipaswa kupigwa chini kitambo sana.
Majaliwa sijui anafanya nini pale.
Akina Mwigulu walipaswa pia kuchinjiwa baharini kitambo

Na mama alibebwa na marehemu pia. Usijisahulishe. And then Acha kupambana na marehemu. Hakuna kiongozi mpya aliyemtoa marehemu China. Wote hao walikuwepo na ni watanzania. Marehemu aliwapiga pabaya sana. Mwaka wa pili huu bado unateseka.
 
Wa kukonda ni wewe tu.
Kwani si suala muda tu?
Pili akiongoza mkristo ataniletea pesa mfukoni?

Lakini waambieni wanaopata nafasi waache ugoigoi.
Redodi ya Mwinyi ni hovyo...rushwa tupu
Rekodi ya kikwete hovyo...rushwa tupu
SAmia uelekeo ulele...acheni uzwazwa chapeni kazi huku mkiingizana akina Abdala watupu.
Mmepooza kama maboga😄😄
Hao unaowaona hawafai ndio wamefanya nchi kuwa nzuri kumbuka kabla ya Mwinyi hali ya uchumi ilikuwa mbaya sana kiasi cha baadhi ya watu tena walio wengi walikuwa hata nguo za kuvaa hawana,sabuni hakuna badala yake walikuwa wakitumia vitu vya ajabu yakiwemo majani ya mpapai kufua matambala yao.
Leo watoto mmekuta nchi imenyooka mnatukana badala yake Nyerere ndio mnamuona ndiye Mungu wenu na yule muuaji ndio nabii wenu!
 
Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.

Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.

Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?

Wa Uhamiaji, ni wakati sasa ku reform Immigration. Passport iwe haki na si fadhila.
 
Hao unaowaona hawafai ndio wamefanya nchi kuwa nzuri kumbuka kabla ya Mwinyi hali ya uchumi ilikuwa mbaya sana kiasi cha baadhi ya watu tena walio wengi walikuwa hata nguo za kuvaa hawana,sabuni hakuna badala yake walikuwa wakitumia vitu vya ajabu yakiwemo majani ya mpapai kufua matambala yao.
Leo watoto mmekuta nchi imenyooka mnatukana badala yake Nyerere ndio mnamuona ndiye Mungu wenu na yule muuaji ndio nabii wenu!
Huwezi kurekebisha kwa kufanya makosa.
Yes tuliingia uchumi huria lakini akaanza kumega nchi na kuuza.
Unalijua Loliondo saga?
Mpuuzi aliuza kipande cha ardhi.

Jk ameuza gas
Amekula nchi kupitia richmond na mambo mengi meusi.
 
Na mama alibebwa na marehemu pia. Usijisahulishe. And then Acha kupambana na marehemu. Hakuna kiongozi mpya aliyemtoa marehemu China. Wote hao walikuwepo na ni watanzania. Marehemu aliwapiga pabaya sana. Mwaka wa pili huu bado unateseka.
Hili dubwana nalo limetokea wapi?
Nani kamtaja huyo unayemwita marehemu.
Duniani kote unapoingia utawala mpya huingia na watubwake wapya.
Huyo marehemu ni wa kwako
 
Back
Top Bottom