Usitake kufanya hisia zako kuwa hisia za kila mtu.Teuzi za leo zimefanyika kupoozesha taarifa ya LATRA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitake kufanya hisia zako kuwa hisia za kila mtu.Teuzi za leo zimefanyika kupoozesha taarifa ya LATRA
Tunahitaji KATIBA imara itakayomuondolea mamlaka za kijingajinga Rais. Hasa Tengua Teua za hovyohovyo..Ulitakaje ?
Lini ulitaka hisia zako ziwe zako pekee?Usitake kufanya hisia zako kuwa hisia za kila mtu.
Na Katanga naye ni wa JPM? Dr. Kusiluka mbona alikuwa katibu wa Rais toka enzi za JPM? Ni hivi, kila mtu anaangalia mambo ya dunia kutokana na anachoamua kufikiri.Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.
Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.
Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Chuki,roho mbaya na ubaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu ndio zinawaumiza,hata Samia mnamchukia kwa sababu ya dini yake na Uzanzibari wake na wala sio utendaji kazi wake.Huo ndio ukweli.Huyo alishapigwa chini kafufuliwa na genge la JK tu.
Ni awamu yao ya Mbeleke
Cc
Abdala
Rajabu
Mwajuma
Keki kubwa ni yao tuvumilie tu
Gerson Msigwa na Hassani Abbas, haya mapopoma sijui kwanini mama anayakawizaWale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.
Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.
Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Daaah umemwaga povu la sgrChuki,roho mbaya na ubaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu ndio zinawaumiza,hata Samia mnamchukia kwa sababu ya dini yake na Uzanzibari wake na wala sio utendaji kazi wake.Huo ndio ukweli.
Povu ruksa.
Mambo ni Yale Yale,Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.
Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.
Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Nyinyi wabaguzi saaaana! wakichaguliwa Waislamu kidogo tu nongwa!Viashiria vya udini taratibu vinachipukia!![emoji3166]
Halieleweki na wala hakuna mwenye akili atalielewa.Lini ulitaka hisia zako ziwe zako pekee?
Elewa swali
Wa kukonda ni wewe tu.Mungu umpa amtakaye utakonda bure.
Sawa mkuuHalieleweki na wala hakuna mwenye akili mbovu kama zangu atalielewa.
Kwanza wamebebwa sana.
Walipaswa kupigwa chini kitambo sana.
Majaliwa sijui anafanya nini pale.
Akina Mwigulu walipaswa pia kuchinjiwa baharini kitambo
Hao unaowaona hawafai ndio wamefanya nchi kuwa nzuri kumbuka kabla ya Mwinyi hali ya uchumi ilikuwa mbaya sana kiasi cha baadhi ya watu tena walio wengi walikuwa hata nguo za kuvaa hawana,sabuni hakuna badala yake walikuwa wakitumia vitu vya ajabu yakiwemo majani ya mpapai kufua matambala yao.Wa kukonda ni wewe tu.
Kwani si suala muda tu?
Pili akiongoza mkristo ataniletea pesa mfukoni?
Lakini waambieni wanaopata nafasi waache ugoigoi.
Redodi ya Mwinyi ni hovyo...rushwa tupu
Rekodi ya kikwete hovyo...rushwa tupu
SAmia uelekeo ulele...acheni uzwazwa chapeni kazi huku mkiingizana akina Abdala watupu.
Mmepooza kama maboga😄😄
Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.
Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.
Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Huwezi kurekebisha kwa kufanya makosa.Hao unaowaona hawafai ndio wamefanya nchi kuwa nzuri kumbuka kabla ya Mwinyi hali ya uchumi ilikuwa mbaya sana kiasi cha baadhi ya watu tena walio wengi walikuwa hata nguo za kuvaa hawana,sabuni hakuna badala yake walikuwa wakitumia vitu vya ajabu yakiwemo majani ya mpapai kufua matambala yao.
Leo watoto mmekuta nchi imenyooka mnatukana badala yake Nyerere ndio mnamuona ndiye Mungu wenu na yule muuaji ndio nabii wenu!
Hili dubwana nalo limetokea wapi?Na mama alibebwa na marehemu pia. Usijisahulishe. And then Acha kupambana na marehemu. Hakuna kiongozi mpya aliyemtoa marehemu China. Wote hao walikuwepo na ni watanzania. Marehemu aliwapiga pabaya sana. Mwaka wa pili huu bado unateseka.