Chama dola mwaka huu 2023 kimehitimisha na kupeleka ujumbe kwa vyombo vya dola kuhusu 4R za maridhiano
Toka maktaba
04 November 2020
Dodoma, Tanzania
Viongozi Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania

Viongozi Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania, wakijadiliana jambo walipofika kukagua maandalizi ya eneo la atakakoapishwa kRais Mteule wa Tanzania Dk. John Magufuli kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma leo. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Commisioner of Police Diwani Athuman, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo na Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
08 Julai 2022
Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini jana Julai 8, 2022 wamemtembelea Mkuu wa Majeshi Tanzania, Jenerali Jacob John Mkunda katika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi, Upanga jijini Dar es salaam.
PICHA ZAIDI :
View attachment 2468306
From top left Clockwise: H.E President John Pombe Joseph Magufuli, Commissioner of Police Diwani Athumani director General Tanzania Intelligence Security Services , Inspector General of Police Simon Sirro and General Venance Mabeyo chief of Defence Forces.
04 January 2023
Tanzania's President Samia Suluhu Hassan has lifted a six-year ban on political rallies imposed by her hard-line predecessor, John Magufuli.
Her decision is part of her 4Rs initiative - Reconciliation, Resilience, Reforms and Rebuilding.
She acknowledged parties had the right to hold rallies but she urged them to be "civil" and not to "trade insults"
Mr Magufuli had banned rallies in between elections in what was seen as an attempt to weaken the opposition.He dismissed rallies as a waste of time and money, and said they detracted from the key challenge of building the economy.
Mrs Samia announced the reversal of his policy at a meeting with opposition politicians.
"Our duty as a government will be offering protection for the rallies," she said.
The chairman of the main opposition Chadema party, Freeman Mbowe, said he welcomed the announcement.
"The move is first of all a return to a right guaranteed in the constitution and our laws," he added.
Mr Mbowe spent seven months in prison, before the prosecution dropped charges of terrorism against him in March 2022.
His arrest had raised doubts about Mrs Samia's commitment to reforms after she became president following Mr Magufuli's death in 2021.
Another opposition politician, Zito Kabwe, told AFP news agency that the president's decision to lift the ban was a "big move".
"This is the right that was snatched by the state through an illegal presidential decree," he added.
Source : BBC News