Trusted Lieutenants wa Hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa, amebaki nani?

Trusted Lieutenants wa Hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa, amebaki nani?

Katanga ndio zao la hayati magufuli?

Kattanga kaletwa na mama Said na yeye ndio kamtimua
 
Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.

Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.

Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Sioni maana Majaliwa ni mwanamtandao timu Kikwete labda alikuwa muoga sana kukinzana na Magufuli.
 
Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.

Nchi nyingine ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).
 
Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.

Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.

Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Mwalimu Nyerere alikuwa Waziri Mkuu kisha akamuachia Mzee Kawawa. Mzee Kawawa alishikilia wadhifa huo kisha akamwachia tena Mwalimu na Mwalimu akawa Rais wa Jamhuri ya Tanganyika 1962, Muungano hadi mwaka 1985. Mzee Msuya, aliwahi kuwa Waziri Mkuu akabadlishwa mara waziri mara kule. Haikuwa ajabu. Wazee wetu walijua cheo ni dhamana. Leo kiongozi akiteuliwa tunasema ' KAULA' akiondolewa tunahoji kashushwa, kapanda au sijui ni mtu wa fulani! #Guys, cheo ni dhamanana. Viongozi wetu wanaoteuliwa ni watiifu na waadilifu tusiwachonganishe.🙏🙏🙏
 
Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.

Nchi nyingine ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).
kaletwa hapo awe monitored
 
Mbona watu ni walewale tu ila wanabadilishwa nafasi?

Mhe. Samia alikuwa Makamu wake, Makamu wa Samia alikuwa Fedha, aliyeko fedha alikuwa Sharia, Madini bado yuleyule, Katanga alikuwa Balozi Japan leo kaenda New York, Kusiruka ni yuleyule..

Usiwe kama Ng'ong'ona au tunutu! Kazi kuchonganisha tu na kiwaza vyeo kila saa! Hivi we Dada utakua lini?
 
Mbona na yeye aliondoa wa Kikwete? Kila kiongozi akija anaunda safu yake...Acheni kumnanga maza hata wewe ukiingia ikulu utapangua safu na kuweka nyingine.
Huu ni upumbavu . Na ndio maana kunakuwa na visasi na visirani.
Watumishi wanakuwa na insecurity huko maofisini coz wanajua nafasi zao si za kudumu.

Hii inapelekea wateule wengi kuchukua chao mapema . Public fund embezzlement..

Hii yote ni kutokana na katiba yetu mbovuu.. inayotupatia viongozi wa hovyo wasiojiamini.
 
Ukihamia nyumba mpya lazima uifanyie fumigation
Huu ni upumbavu . Na ndio maana kunakuwa na visasi na visirani.
Watumishi wanakuwa na insecurity huko maofisini coz wanajua nafasi zao si za kudumu.

Hii inapelekea wateule wengi kuchukua chao mapema . Public fund embezzlement..

Hii yote ni kutokana na katiba yetu mbovuu.. inayotupatia viongozi wa hovyo wasiojiamini.
 
Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.

Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.

Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Kati ya mambo yanayo ligharimu bara la Afrika ni kuto kuaminiana na kupenda kutengeneza makundi badala ya kujenga vision ya Nchi. Tuna hitaji Rehema za Mungu.
 
Back
Top Bottom