JPM hakuwaondoa waliowekwa na watangulizi wake?Wale wateule waaminifu wa hayati Magufuli ndio wanamaliziwa kuondolewa kwenye nyadhifa zao.
Na sasa wanapangiwa majukumu mengine.
Je, unadhani amebaki nani katika wateule waaminifu wa hayati Magufuli ambaye hana siku nyingi atapangiwa majukumu mengine?
Wajinga kama wewe kuaminishwa ujinga na wewe ukaamini lile jinga mwenzeni mnayetamani kuliabudu lilitoka kuanzisha madili yake likaona lizue uongo na mlivyokosa akili mkaamini.Huwezi kurekebisha kwa kufanya makosa.
Yes tuliingia uchumi huria lakini akaanza kumega nchi na kuuza.
Unalijua Loliondo saga?
Mpuuzi aliuza kipande cha ardhi.
Jk ameuza gas
Amekula nchi kupitia richmond na mambo mengi meusi.
We faller wa karne na umejaa ushamba.Wajinga kama wewe kuaminishwa ujinga na wewe ukaamini lile jinga mwenzeni mnayetamani kuliabudu lilitoka kuanzisha madili yake likaona lizue uongo na mlivyokosa akili mkaamini.
Kama imeuzwa mbona hadi leo hao walionunua hawajafanya chochote kuendeleza mradi wao.
Mbaya zaidi na huko bungeni huwa hawajadili mambo ya maendeleo ila sisi wa keyboard ndo tunajadili.Tanzania kuanzia January hadi Desemba tunajadili madaraka na vyeo.
Maendeleo yanajadiliwa kipindi cha Bunge
Nisamehe. Sihitaji wala siwezi ligi.Unauliza swali kana kwamba huoni kinachoendelea au unahitaji ligi ya mongezi!?
Jaribu kukagua safu zote mpya anazopanga sir100 utaona madudu anayofanya kwa vile ni wa maushungi anateuwa vikofia wenzake...Hili linashiria nini kama sio udini?
wako madrasa wanadurs.Na hapa tukiuliza tutegemee jibu gani?
Nawe uza basi,kuwa makini usije kujinyonga bure maana 2030 mbali sana unaweza kuishi kwa manung'uniko kweli. Halafu akimaliza tuna mpango wa kumuweka Muislam mwingine.We kyma ufisadi sio wizi?
Acheni uongozi legelege ona wauza madawa wamerudi mjini upya
Kwa hiyo unashauri hizo nafasi ziwe za kifalme mpaka kifo. Nchi yenyewe kila rais anakuja na dili lake na chawa wakeHuu ni upumbavu . Na ndio maana kunakuwa na visasi na visirani.
Watumishi wanakuwa na insecurity huko maofisini coz wanajua nafasi zao si za kudumu.
Hii inapelekea wateule wengi kuchukua chao mapema . Public fund embezzlement..
Hii yote ni kutokana na katiba yetu mbovuu.. inayotupatia viongozi wa hovyo wasiojiamini.
Upo sahihiMbaya zaidi na huko bungeni huwa hawajadili mambo ya maendeleo ila sisi wa keyboard ndo tunajadili.