Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Karibu, tutakupa na zile Sanda kama kifungashio.Najipanga vizuri siku Moja nitue hapo GSM mall nichukue kits za kutosha za michezo
Tshirt hii alivaa GSM siku ya mwananchi.
Ikawa gumzo, mtaani wakasema ni bei.
Jamaa yangu kaenda kuinunua kauziwa 85,000 na risiti halali ya EFD kapewa.
Mambo mazuri yanahitaji pesa!
View attachment 3067991View attachment 3067992
Inasafisha na dhambi,,,spare m plsTshirt hii alivaa GSM siku ya mwananchi.
Ikawa gumzo, mtaani wakasema ni bei.
Jamaa yangu kaenda kuinunua kauziwa 85,000 na risiti halali ya EFD kapewa.
Mambo mazuri yanahitaji pesa!
View attachment 3067991View attachment 3067992
Kwa maana hiyo GSM hakutaka vile vitenge na mabatiki au..Tshirt hii alivaa GSM siku ya mwananchi.
Ikawa gumzo, mtaani wakasema ni bei.
Jamaa yangu kaenda kuinunua kauziwa 85,000 na risiti halali ya EFD kapewa.
Mambo mazuri yanahitaji pesa!
View attachment 3067991View attachment 3067992
BrandingNi sahihi kabisa.
Kwenye masomo ya sales na marketing huwa wanafundisha saikolojia za binadamu katika kununua kitu.
Binadamu huwa anafanya maamuzi ya kununua kitu kwa emotions kuliko logic.
Hiyo tshirt inauzwa hiyo bei sababu ya hiyo nembo ya yanga tu. Watu wengi wana emotions na timu ya yanga. Na sasa wamekuwa na emotions na gsm sababu anaonekana anaisaidia yanga. Hapo bosi kaivaa kwa ajili ya kuipromote ili wanayanga wainunue sana.
Hiyo tshirt Ukiitoa nembo ya yanga hapo isiwepo hata elfu 20 kuuza ni ngumu sana.
Hii post iwekewe lamination itunzwe na kulindwaGSM bwana! Kazi kutunza hela za Kikwete tu, kutafuta za kwake aaaaaaahhh