Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Tshirt hii alivaa GSM siku ya mwananchi.
Ikawa gumzo, mtaani wakasema ni bei.
Jamaa yangu kaenda kuinunua kauziwa 85,000 na risiti halali ya EFD kapewa.
Mambo mazuri yanahitaji pesa!
Ikawa gumzo, mtaani wakasema ni bei.
Jamaa yangu kaenda kuinunua kauziwa 85,000 na risiti halali ya EFD kapewa.
Mambo mazuri yanahitaji pesa!