TSMC: Hatutapokea ombi lolote kutoka Huawei kununua processor zetu kuanzia September 14, 2020

TSMC: Hatutapokea ombi lolote kutoka Huawei kununua processor zetu kuanzia September 14, 2020

Kitu kimoja watu wengi hawajui kuhusu China ni ukubwa wa soko lake lenyewe. Wachina ni over 1.3billion Mara nne zaidi ya marekani, lakini pia bidhaa nyingi za makampuni ya marekani zinatengenezewa China.

Pia tuitambue shida yote ni nguvu za kiuchumi za China ambazo zinamuogopesha marekani hivyo vikwazo vyoote hivyo.

Covid 19 itatoa jibu muda si mrefu kwamba uchumi wa marekani hauwezi kuwa tishio kwa wengine. Tuipe muda maana unapoweka vikwazo vinakula kotekote
Usisahau uchumi na technolojia ni vitu vinavyo kwenda sambamba mchina kakosa kimoja hapo hayupo vizur (technolojia).
 
Zilikuwepo empire zenye nguvu na zilianguka,Mchina sio mjinga kivile lazima atakuja na solution.Mbaya zaidi kila taifa litakuja na solution zake kuondoa huu ukiritimba baada ya kuona jinsi China anavyofanyiziwa
Muogope mtu yupo kimyaaa hapigi kelele hee!!
 
Usisahau uchumi na technolojia ni vitu vinavyo kwenda sambamba mchina kakosa kimoja hapo hayupo vizur (technolojia).
Du hebu angalia gadget zote ulizonazo zimetengenezwa wapi.

Kila nchi inategemea nchi zingine
 
Kama ccm inavyo dhamiria kuiondoa chadema[emoji1][emoji1]
Kampuni ya kutengeneza processor za simu za kiwango cha juu ya Taiwani, Taiwanese Semiconductor Manufacturing Company au TSMC imesema haitapoea ombi lolote wa kuiuzia processor zake kampuni ya Huawei kuanzia September 14, 2020 ili kutokumbana na vikwazo vya Marekani.

Marekani imezuia kampuni yoyote Duniani inayotumia teknolojia yake kutengeneza bidhaa zozote kutokuiuzia hiyo bidhaa kampuni ya Huawei ya China bila ruhusa kutoka Washington.

TSMC ndie anaongoza kutengeneza processor za simu za makampuni makubwa kama Huawei, Apple, Samsung, One Plus na mengine. Sehemu kubwa ya processor zake hunuliwa na hayo makampuni hasa Apple na Huawei.

Marekani amedhamiria kuiondoa Huawei Sokoni.

TSMC Will Cut Off Supply to Huawei In September
 
Ni kweli Marekani ni soko la China na China ananunua vichache kutoka Marekani.

Swali la kujiukiza bidhaa anazouza marekani vs zinazouzwa ndani ya China zipi nyingi? Mfano: Huawei wana soko kubwa Sana la simu nchini mwao kuliko kuliko makampuni mengine including iPhone.

Ni kweli kwamba China anamtegemea US kwa baadhi ya products similarly US anamtegemea China, therefore ukiweka sunction kwenye Ain Fulani ya product na mwenzio atakuwekea na Kuna mmoja ataumia zaidi in the short, medium and long run.

Pili Russian imeendelea hizi siku z akaribuni kwa sababu ya sunctions hivyo wanajitosheleza baadhi ya vitu, Iran the same.

Kwa hiyo sunction sio kila wakati ni solution to certain problem badala take inachochea innovation and self dependent.

Nirudi kwenye hoja, US hawezi kujitgemea bila China hivyo hivyo China anamtegemea US lakini Hali ya uchumi wa US ni mbaya kuliko wa China ndio maana anatafuta njia ya kuleverage kwa kuweka sunctions kupunguza Kasi ya mchina na chances za kufanikiwa ni ndogo.

Mfano shughuli za kiuchumi nyingi US zimedumaWa na Covid19 while China uchumi umerebound na kujua kwa 3.2% last quarter.

Kikubwa kinachoweza kuupaisha uchumi wa marekanii ni 5G, lakini China wamewapiga bao kwa kuwa wakwanza kuitengeneza na kuanza kuiuza, hata Covid19 is assumed to be economic war hasa ujio wa 5G ya kichina kabla ya wale wanaofikiri ndio wamiliki.

Weekend njema
China imeipiga bao USA kwenye 5G kivipi?
 
TSMC ni major supplier wa chip kwa HUAWEi, TSMC yuko supplied na technology pamoja na mitambo ya kutengeneza hizo chip na wamarekani.
Alafu wamarekani hawanunui product za HUAWEI.

Sasa anayemtegemea mwenzake kati ya USA na CHINA ni nani?
 
Hii ya vikwazo si nzuri, mwisho wasijesema nchi zitakazonunua bidhaa za Huawei zitaingia ktk vikwazo kutoka marekani[emoji848] shame

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nandipo vikwazo vitakapopoteza ile maana yakenhalisi maana watu hawatakaa waendekeze upuuzi na ujinga wao.....
 
Taiwan ni pa moto na USA yuko tayari kuingia vitani akisaidiwa na Australia na Europe . Mchina atawashiwa moto hatari. Mchina acheze na Tibet na Hong Cong hapo ndio ana uwezo napo
UCHINA hanamuda na vita na US hatathubutu kuingia vitani na UCHINA labda ampige kwavijembe vyatwita na WASAPU
 
China should democratize their politics and privatize their economy or else they are going to be increasingly sidelined by the western countries.
They should also review their relationship with Iran and the new dictatorship of Russia.
Endeleeni kuota mkiamka mtakuta UCHINA ipo kama ilivyosasa.....
 
Usisahau uchumi na technolojia ni vitu vinavyo kwenda sambamba mchina kakosa kimoja hapo hayupo vizur (technolojia).
Hayupo vizuri kafikaje hapo alipo

UCHINA ipi labda unayoisemea wewe ile ile ya miaka ya 70s ama ?!
 
toa hoja mkuu, sio mipasho...
wewe ndio unatoa mipasho hayo unayoyasema kabla yalikua hayajulikani ?!


Mbna kabla yahapo hakukua nahizi ndoto wanazoota US kwasasa wameshikwa pabaya nawameshikika ila UCHINA iko pale palw tuuu.....
 
wewe ndio unatoa mipasho hayo unayoyasema kabla yalikua hayajulikani ?!


Mbna kabla yahapo hakukua nahizi ndoto wanazoota US kwasasa wameshikwa pabaya nawameshikika ila UCHINA iko pale palw tuuu.....
wamarekani wamekataa technologia yao isitumiwe na HUAWEI sababu serikali ya china ina mikono kwenye kampuni hiyo na hivyo kusababisha wasiwasi wa bidhaa za HUAWEI kutumiwa na serikali ya uchina katika namna inayohatarisha usalama wa USA.

Issue ya serikali ya UCHINA kuwa na influence kwenye kampuni hiyo ni sababu, serikali ya UCHINA haiko tayari makampuni ya kibiashara kujiendesha yanavyotaka bila maelekezo yake binafsi, na hii inawezekana sababu hakuna hoja mbadala pale china za namna serikali inapaswa kuendeshwa au kusimamia uchumi wa nchi.

sasa hapo wamarekani wana wivu kivipi?

kama ni wivu hao wachina si watumie technologia yao yaishe.
 
Back
Top Bottom