TSMC: Hatutapokea ombi lolote kutoka Huawei kununua processor zetu kuanzia September 14, 2020

TSMC: Hatutapokea ombi lolote kutoka Huawei kununua processor zetu kuanzia September 14, 2020

FBI ( na lazma waliomba msaada CIA, MOSAD etc.) walishindwa kuzibua ki PIN number cha simu ya terrorist wa California na Florida. Apple wakakataa kutoa ushirikiano.

Hizo backdoor za serikali ya Marekani zilikuwa wapi?
Sawa endelea kuamini hivyo, kwahiyo ulitaka waseme then waaribu reputation ya kampuni na kupoteza wateja?
 
In short notice ni wivu tu hakuna chengine, hizo nyengine ni porojo
wamarekani wamekataa technologia yao isitumiwe na HUAWEI sababu serikali ya china ina mikono kwenye kampuni hiyo na hivyo kusababisha wasiwasi wa bidhaa za HUAWEI kutumiwa na serikali ya uchina katika namna inayohatarisha usalama wa USA.

Issue ya serikali ya UCHINA kuwa na influence kwenye kampuni hiyo ni sababu, serikali ya UCHINA haiko tayari makampuni ya kibiashara kujiendesha yanavyotaka bila maelekezo yake binafsi, na hii inawezekana sababu hakuna hoja mbadala pale china za namna serikali inapaswa kuendeshwa au kusimamia uchumi wa nchi.

sasa hapo wamarekani wana wivu kivipi?

kama ni wivu hao wachina si watumie technologia yao yaishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huawei zte na honor zote ni kampuni moja ila kwa majina tofauti. kwahiyo marekani kutowauzia huawei processor ni sawa na kazi bure.
Android na google service unaijua ilivyo penetrate kwenye soko la simu duniani?

Huawei ZTE na simu yoyote ya kichina ukiondoa android linabaki kopo tu, hata hiyo processors za kirin amabyo Huawei alikuwa anatamba ni yake ina components kadhaa zinatoka USA na zilipopigwa bit hata hiyo kirin ipo matatani, mtk processor nayo ikibanwa na usa inapotea pia.

Android imeanza katika zama zetu, yaani mini na wewe tulikuwa na uelewa wetu, tusichokijua kuwa kulikuwa na mkakati wa kuweka addiction na dependency bila sisi kujua , hii sio level ndogo ya intelligence,
Android haina miaka mingi lakini ndo inatuelekeza sehemu ipi nzuri ya kulala , atm ya karibu na hata files zetu zikae wapi, na sasa inaenda kuua biashara ya smartphone za kichina kama atakatazwa kutumia android
 
Kama kipi ?
Eneo la kwanza ni hili la semiconductors na processors. Juhudi walizoweka huko baada ya hizi sanctions ni kubwa sana. Na ndio jambo alikuwa anasema Sundar Pichai, Huawei wakifungiwa hawatakubali kufa bali watapambana kuwa independent zaidi, which will make them even more dangerous kuliko sasa
 
Du hebu angalia gadget zote ulizonazo zimetengenezwa wapi.

Kila nchi inategemea nchi zingine
gadgets kutengenezwa nchi fulani sio stepping stone kwenye maendeleo, china kutengeneza vitu vingi under licence haimaanishi kuwa ndo ata master game ,
hujajifunza miaka ya 90 tulikuwa tuna assemble scania kibaha hapo, ? scania wapofuta mkataba waliyumba?
 
Eneo la kwanza ni hili la semiconductors na processors. Juhudi walizoweka huko baada ya hizi sanctions ni kubwa sana. Na ndio jambo alikuwa anasema Sundar Pichai, Huawei wakifungiwa hawatakubali kufa bali watapambana kuwa independent zaidi, which will make them even more dangerous kuliko sasa
walisema watalauch os yao kama mbadala wa android imeishia wapi?
leo hii android ikimbana mchina anaweza kutoka kwenye soko la smart phones , mchina alikuwa wapi kustuka wakati android inapenetrate hadi inafikia level ya kuwa tishio kwa mchina,
 
walisema watalauch os yao kama mbadala wa android imeishia wapi?
leo hii android ikimbana mchina anaweza kutoka kwenye soko la smart phones , mchina alikuwa wapi kustuka wakati android inapenetrate hadi inafikia level ya kuwa tishio kwa mchina,
Kwenye software, the west wako mbali sana, hata kama Wachina wakijaribu itaishia kutumika kwao tu. Google eco system sasa hivi haina mbadala, hapo watachemsha. Lakini vita ya sasa hivi ni hardware hawatashindwa. Underestimating the Chinese imewa-cost the West
 
Kwenye software, the west wako mbali sana, hata kama Wachina wakijaribu itaishia kutumika kwao tu. Google eco system sasa hivi haina mbadala, hapo watachemsha. Lakini vita ya sasa hivi ni hardware hawatashindwa. Underestimating the Chinese imewa-cost the West
hata kwenye hardware mchina hakupewa kila kitu, huawei processor yao ya kirin inaenda kufa kibudu kwa kukosa baadhi ya components amabazo zia patents ya marekani, hata hiyo Mtk processor nazo zipo kwenye pipeline hiyo hiyo just in case watazingua
 
hata kwenye hardware mchina hakupewa kila kitu, huawei processor yao ya kirin inaenda kufa kibudu kwa kukosa baadhi ya components amabazo zia patents ya marekani, hata hiyo Mtk processor nazo zipo kwenye pipeline hiyo hiyo just in case watazingua
Watch that space.... hawatashindwa, wataboronga mwanzoni lakini hawatashindwa.
 
Sawa endelea kuamini hivyo, kwahiyo ulitaka waseme then waaribu reputation ya kampuni na kupoteza wateja?

wamefikishana mpaka mahakamani, hawawezi kucheza maigizo mahakamani

halafu nchi zilizoendelea hawana uongo uongo wa kampuni na serikali kudanganya raia.... watatokea watu ndani ya FBI na Apple wanaitwa "whistle blower" watasema jamani eeeh, huku kuna kigenge kinavunja sheria za kikatiba za faragha... itakuwa ishu kubwa sana

Wamarekani wanaiamini na kuisujudia katiba yao kama neno la Mungu liletalo uponyaji
 
Watch that space.... hawatashindwa, wataboronga mwanzoni lakini hawatashindwa.
they don't have records to prosper on their own, nipe innovations hata tano tu ambazo mchina ame anzisha kwa mkono wake
 
wamefikishana mpaka mahakamani, hawawezi kucheza maigizo mahakamani

halafu nchi zilizoendelea hawana uongo uongo wa kampuni na serikali kudanganya raia.... watatokea watu ndani ya FBI na Apple wanaitwa "whistle blower" watasema jamani eeeh, huku kuna kigenge kinavunja sheria za kikatiba za faragha... itakuwa ishu kubwa sana

Wamarekani wanaiamini na kuisujudia katiba yao kama neno la Mungu liletalo uponyaji
watu wanasahau yaliyotokea kwenye kampuni ya Enron , whistleblower mdogo kabisa alisababisha kampuni kubwa ku file bankruptcy na kupotea kabisa. na katiba ikamlinda , ingekuwa kwenye ujamaa wetu huu jamaa alikuwa anapotea
 
wamefikishana mpaka mahakamani, hawawezi kucheza maigizo mahakamani

halafu nchi zilizoendelea hawana uongo uongo wa kampuni na serikali kudanganya raia.... watatokea watu ndani ya FBI na Apple wanaitwa "whistle blower" watasema jamani eeeh, huku kuna kigenge kinavunja sheria za kikatiba za faragha... itakuwa ishu kubwa sana

Wamarekani wanaiamini na kuisujudia katiba yao kama neno la Mungu liletalo uponyaji
Kwahiyo whistle-blower Snowden alidanganya? Backdoor is there mkuu, sikulazimishi kuamini
 
Back
Top Bottom