TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Walinchosha nilipokuwa sehemu fulani karibu na downtown alafu simu inasoma ROAMIN aisee eti jamaa wanagongea mnara wa Tigo tena Dar es salaam! Aibu sana
Pole kwa changamoto hiyo,tafadhali tufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
 
Pole kwa changamoto hiyo,tafadhali tufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
 
Pole kwa changamoto hiyo,tafadhali tufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
 
Binafsi nilikua napata vizuri tu, lakini Sasa hivi, internet inapanda na kushuka nipo maeneo ya wilaya ya temeke, temeke yote usajili wa fingerprints hamna ukitaka nilazima uende Posta na kariakoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwa changamoto hiyo,tafadhali tufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
 
Pole kwa changamoto hiyo,tafadhali tufahamishe unapatikana maeneo gani ili tufuatilie na kutatua.
 
Hatua za kuboresha huduma zetu zinaendelea kufanyika ili kuwapatia wateja wetu huduma iliyobora.
 
Niliwaona hamna kitu baada ya kuweka tariff za Tpesa sawa na akina MTpesa ilhali wao ni wachanga kwenye hiyo huduma. Halotel wanahangaika hadi wanashusha tariff ili waweze kushindana ila hawa wetu wamebeteka tu.
Hatua za kuboresha huduma zetu zinaendelea kufanyika ili kuwapatia wateja wetu huduma iliyobora.
 
Mie nilisafiri kutoka ushirombo Hadi Geita zaidi ya km 360 kusajili line ya ttcl hiyo mivoda na Airtel wafunge tu nshatoa pesa zangu
Tunashukuru kwa kutuandikia,Hatua za kuboresha huduma zetu zinaendelea kufanyika ili kuwapatia wateja wetu huduma iliyobora.
 
Tunashukuru kwa kutuandikia,Hatua za kuboresha huduma zetu zinaendelea kufanyika ili kuwapatia wateja wetu huduma iliyobora.
 
Aisee hili shirika letu linahujumiwa si bure, haiwezekani wapeleke gawio kwa JPM huku wakijua kabisa kuwa minara yao haitoshi , vocha hazitoshi mji mzima, wanapitwa hadi na watoto HALOTEL na AIRTEL
Tunashukuru kwa kutuandikia,Hatua za kuboresha huduma zetu zinaendelea kufanyika ili kuwapatia wateja wetu huduma iliyobora.
 
Chuki kivip sasa wakat umekiri mwenyew kuwa walikuwa hovyo?
TTCL kweli wapo hovyo hasa huku mbeya ukitoka mjin ukifika kabwe tu internet speed ya kobe

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunashukuru kwa kutuandikia,Hatua za kuboresha huduma zetu zinaendelea kufanyika ili kuwapatia wateja wetu huduma iliyobora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…