Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Makokoloni wapo?Yaaap, nipo Raha mkuu karibu sana tutafune miwa ya Illovo
Kuwa n subira wanafanyia maboresho.Tena ikitumika kwa torrent ipo slow kupita maelezo
hawa TTCL nilisikia mwanzoni wakisifiwa nikaingia mkenge nikatafuta laini nikanunua..mpaka sasa najuta. Unanunua kifurushi internet iko speed ya konokono..hata ukituma meseji tu ya maneno ya watsap inachukua zaidi ya dakika kuwa sent. Ukiwapigia simu wanajifanya kukuambia eti oooh...labda settings kwenye simu yako hazijakaa sawa...yaani wanakera...Nimeamua niiweke pembeni natumia airtel tu. wajirekebishe sana.Mtandao wenu hauaminiki kabisa yaani, kuna siku nilijiunga kifurushi cha "toboa night" halafu ghafla mawasiliano yakakata. Kupiga simu huduma kwa wateja najibiwa "utopolo". TTCL huduma kwa wateja bado kuna ubabaishaji mkubwa, mjirekebishe, soko la mawasiliano lina ushindani mkubwa sana.
Vocha zinapatikana vizuri tu siku hizihawa TTCL nilisikia mwanzoni wakisifiwa nikaingia mkenge nikatafuta laini nikanunua..mpaka sasa najuta. Unanunua kifurushi internet iko speed ya konokono..hata ukituma meseji tu ya maneno ya watsap inachukua zaidi ya dakika kuwa sent. Ukiwapigia simu wanajifanya kukuambia eti oooh...labda settings kwenye simu yako hazijakaa sawa...yaani wanakera...Nimeamua niiweke pembeni natumia airtel tu. wajirekebishe sana.
Kwanza hizo vocha zenyewe unaweza kumaliza mji bila kuzipata. Ila nawapongeza kwa kuungana na tigopesa kwenye suala la kununua salio
Utopolo???Mtandao wenu hauaminiki kabisa yaani, kuna siku nilijiunga kifurushi cha "toboa night" halafu ghafla mawasiliano yakakata. Kupiga simu huduma kwa wateja najibiwa "utopolo". TTCL huduma kwa wateja bado kuna ubabaishaji mkubwa, mjirekebishe, soko la mawasiliano lina ushindani mkubwa sana.
Mbona net ipo poa.Mna speed mbovu ya internet mnashindwa hata na makampuni ya kigeni
Acha utañi
*150*71#
WhatsApp 0734 151511Wakuu, inakera. Utapiga 100 lakini utabakia kupata maelezo tu ya mtambo mpaka unachoka.
Watueleze wateja wao tukitaka kupata ufafanuzi tuwapate vipi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachek wasapu 0738151511Router yangu haikubali network 4G yenu tangu Alhamisi jioni hadi sasa,
Asante mkuu japo niliwapigia wakaniambia kweli tatizo lipo na wanalishughulikia kesho yake nikawapigia tena wakasema tatizo lishatatiwa nikawaambia kwangu bado, yaani line nikiiweka kwenye simu imai set katika 3G inakubali ila nikiiweka kwenye 4G /router inakataa!Wachek wasapu 0738151511
Upo pande za wapi?Asante mkuu japo niliwapigia wakaniambia kweli tatizo lipo na wanalishughulikia kesho yake nikawapigia tena wakasema tatizo lishatatiwa nikawaambia kwangu bado, yaani line nikiiweka kwenye simu imai set katika 3G inakubali ila nikiiweka kwenye 4G /router inakataa!