TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Tabata kimanga internet ya ttcl inasumbua sana. Njooni mfanye uchunguzi
 
Mtandao wenu hauaminiki kabisa yaani, kuna siku nilijiunga kifurushi cha "toboa night" halafu ghafla mawasiliano yakakata. Kupiga simu huduma kwa wateja najibiwa "utopolo". TTCL huduma kwa wateja bado kuna ubabaishaji mkubwa, mjirekebishe, soko la mawasiliano lina ushindani mkubwa sana.
 
Mtandao wenu hauaminiki kabisa yaani, kuna siku nilijiunga kifurushi cha "toboa night" halafu ghafla mawasiliano yakakata. Kupiga simu huduma kwa wateja najibiwa "utopolo". TTCL huduma kwa wateja bado kuna ubabaishaji mkubwa, mjirekebishe, soko la mawasiliano lina ushindani mkubwa sana.
hawa TTCL nilisikia mwanzoni wakisifiwa nikaingia mkenge nikatafuta laini nikanunua..mpaka sasa najuta. Unanunua kifurushi internet iko speed ya konokono..hata ukituma meseji tu ya maneno ya watsap inachukua zaidi ya dakika kuwa sent. Ukiwapigia simu wanajifanya kukuambia eti oooh...labda settings kwenye simu yako hazijakaa sawa...yaani wanakera...Nimeamua niiweke pembeni natumia airtel tu. wajirekebishe sana.
Kwanza hizo vocha zenyewe unaweza kumaliza mji bila kuzipata. Ila nawapongeza kwa kuungana na tigopesa kwenye suala la kununua salio
 
hawa TTCL nilisikia mwanzoni wakisifiwa nikaingia mkenge nikatafuta laini nikanunua..mpaka sasa najuta. Unanunua kifurushi internet iko speed ya konokono..hata ukituma meseji tu ya maneno ya watsap inachukua zaidi ya dakika kuwa sent. Ukiwapigia simu wanajifanya kukuambia eti oooh...labda settings kwenye simu yako hazijakaa sawa...yaani wanakera...Nimeamua niiweke pembeni natumia airtel tu. wajirekebishe sana.
Kwanza hizo vocha zenyewe unaweza kumaliza mji bila kuzipata. Ila nawapongeza kwa kuungana na tigopesa kwenye suala la kununua salio
Vocha zinapatikana vizuri tu siku hizi
 
Mtandao wenu hauaminiki kabisa yaani, kuna siku nilijiunga kifurushi cha "toboa night" halafu ghafla mawasiliano yakakata. Kupiga simu huduma kwa wateja najibiwa "utopolo". TTCL huduma kwa wateja bado kuna ubabaishaji mkubwa, mjirekebishe, soko la mawasiliano lina ushindani mkubwa sana.
Utopolo???
Ndio nini
 
Tatizo wahudumu wenu hawako romantic yan ukifika mteja ni kavu kavu hadi huduma inaboa sana hasa hao weusi
 
96120344_10158575580512884_2039165749615919104_o.jpg


Tunaendelea kukujali kwa kukupa muda wa maongezi kupiga simu kwenda mitandao yote ukiwa na Laini ya TTCL.
RudiNyumbaniKumenoga!


95826829_10158571519362884_1355465290338533376_o.jpg


Furahia kifurushi LONGA PACK kinachokupa Dakika za kutosha kupiga mitandao yote kwa gharama nafuu zaidi, kujiunga piga *148*30#.

RudiNyumbaniKumenoga!
 
Tatizo TTCL sijui mnafeli wapi yani

Mnaanzisha Threads halafu tukichangia mnakula kona hamjui sisi ndo wateja wenyewe au tunataka kuwa wateja. Makampuni mengine vifurushi vya internet ni gharama nyie mnaonekana nafuu ila internet yenu inasumbua watu wanalalamika badala ya kutoa maelezo na ufafanuzi mnakimbia.

Halafu weekend ndo imeisha ndo mnaleta tangazo la kifurushi cha weekend😁😁. Sijui hizo Marketing zenu mlisomea Burundi au Korea ya Kaskazini??
 
Asante mkuu japo niliwapigia wakaniambia kweli tatizo lipo na wanalishughulikia kesho yake nikawapigia tena wakasema tatizo lishatatiwa nikawaambia kwangu bado, yaani line nikiiweka kwenye simu imai set katika 3G inakubali ila nikiiweka kwenye 4G /router inakataa!
Upo pande za wapi?
 
Back
Top Bottom