Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Wafanye mpango network yao ifike hadi nje ya mji,kwa dar hapo hapo ukitoka nje ya mji kidogo tu net yao inapotea!Seems umetumwa aisee na hauna uzalendo ndani yako ,TTCL Ni mtandao wa kitanzania na unaendeshwa na watanzania wenyewe badala uwe wa kwanza kuitetea wewe mtanzania mwenzetu ndio unakua wa kwanza kuichafua, tupende vya kwetu jamani
Sent using Jamii Forums mobile app