Tritel ilishindwa kujiendesha kwasababu ya gharama kubwa za kuendesha mitambo yake ya digital, nyakati hizo (1998). Ndiyo ilikuwa kampuni ya kwanza kuwa na mfumo huo Tanzania.Hivi TRITEL ilipotelea wapi?
Tupo kwenye ulimwengu wa simu janja wewe unawashauri warudi kwenye zama za mawe za kati.
Statistics speak.TTCL iko vizuri mkuu, hiyo internet unayotumia kupost hapa iwe ni unatumia Vodacom, tigo, smart, Zantel au airtel jua tiari ushawalipa TTCL, unapoona wanatoa gawio usidhani ni hadithi.
Muda si mrefu vitarekebishwa, nina imani utavipenda.Tatizo hawako tayari kwenda na wakati.
Hata vifurushi vyao wamevipanga kimwinyi mwinyi sana
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Habari yako mkuu.Statistics speak.
Mbona haina wateja. Hiyo internet ingetolewa kwenye open market sidhani Kama wangepata hiyo Monopoly.
Jifunze kusoma takwimu mpwa
Ndio Kaka. Kuna dogo amerudi toka chuo hapa jirani. Kwa sasa ndio mtaalamu wetu wa IT. siyo DSTV au TV yenyewe, simu na kompyuta mpakato yangu. Dogo Yuko vzr. Cha ajabu huko chuo anasomea mambo torfauti kabisa.Habari yako mkuu.
Vipi ulifanikisha kutoa zile PIN?
Wameuza nyumba wanalala njeTunaelewa ila inakuwaje watumie roaming ya tiGO..???
Kama wenyewe ndo masta kwanini unakuta sehemu mitandao yote ina 4g ila wao tu hakuna 4g inakuwaje....
Sent using Jamii Forums mobile app
Politica motivated,apo nmekuelewa mkuuThere is always relationship between state owned companies and failure since way back
Halotel wameanza operations 2015 market share 9% ,TTCL wameanza 1961 market share below 1 % na still wako protected kwenye competition na state,management yake iko politically motivated
Sent using Jamii Forums mobile app
Msalimie sana.Ndio Kaka. Kuna dogo amerudi toka chuo hapa jirani. Kwa sasa ndio mtaalamu wetu wa IT. siyo DSTV au TV yenyewe, simu na kompyuta mpakato yangu. Dogo Yuko vzr. Cha ajabu huko chuo anasomea mambo torfauti kabisa.
Asante sana kwa ushauri wako.TTCL bora wabaki tu kama mamlaka itakayofanya kazi na makampuni ya simu lakini siyo kuwa kampuni ya simu maana hata hawaonekani huku mtaani yani unawatafuta kama unatafuta hela kumbe unatafuta vocha kwa hela yako.
Bado aise hawajafika viwango vya VodacommTigo,Halotel na wengine.
TTCL imeanzishwa 1993, acha kupotosha.There is always relationship between state owned companies and failure since way back
Halotel wameanza operations 2015 market share 9% ,TTCL wameanza 1961 market share below 1 % na still wako protected kwenye competition na state,management yake iko politically motivated
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika?We unamuokota Branch Manager wa Bank ya Kihindi unampa Ukurugenzi wa TTCL si kujitafutia matatizo
Now wanarekebisha mitambo.TTCL bora wabaki tu kama mamlaka itakayofanya kazi na makampuni ya simu lakini siyo kuwa kampuni ya simu maana hata hawaonekani huku mtaani yani unawatafuta kama unatafuta hela kumbe unatafuta vocha kwa hela yako.
Bado aise hawajafika viwango vya VodacommTigo,Halotel na wengine.
Mbona hilo linaboreshwa soon, kuanzia Oktoba mosi utafurahi.Tatizo hawako tayari kwenda na wakati.
Hata vifurushi vyao wamevipanga kimwinyi mwinyi sana
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Sio kweli.TTCL NI MAREHEMU ANAYEBEBWA
Mbona hilo suala linasgughulikiwa.Ni rahisi kuliteka soko la simu kwa hapa Tanzania kama gharama zikiwa fair na kutokuwa na wizi wa kijingakijinga sababu huu ni udhaifu mkubwa wa makampuni ya simu
Vocha zitaanza kupatikana kila kona ya nchi kuanzia Oktoba mosiUku kwetu muuzaji wa voucher za TTCL anauza atakavyo jisikia na juma mosi na jumapili hafungui ofisi.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app