Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
Tritel ilishindwa kujiendesha kwasababu ya gharama kubwa za kuendesha mitambo yake ya digital, nyakati hizo (1998). Ndiyo ilikuwa kampuni ya kwanza kuwa na mfumo huo Tanzania.Hivi TRITEL ilipotelea wapi?