TTCL hoi kwenye soko la mawasiliano nchini

TTCL hoi kwenye soko la mawasiliano nchini

TTCL iko vizuri mkuu, hiyo internet unayotumia kupost hapa iwe ni unatumia Vodacom, tigo, smart, Zantel au airtel jua tiari ushawalipa TTCL, unapoona wanatoa gawio usidhani ni hadithi.
Statistics speak.
Mbona haina wateja. Hiyo internet ingetolewa kwenye open market sidhani Kama wangepata hiyo Monopoly.
Jifunze kusoma takwimu mpwa
 
Habari yako mkuu.
Vipi ulifanikisha kutoa zile PIN?
Ndio Kaka. Kuna dogo amerudi toka chuo hapa jirani. Kwa sasa ndio mtaalamu wetu wa IT. siyo DSTV au TV yenyewe, simu na kompyuta mpakato yangu. Dogo Yuko vzr. Cha ajabu huko chuo anasomea mambo torfauti kabisa.
 
TTCL bora wabaki tu kama mamlaka itakayofanya kazi na makampuni ya simu lakini siyo kuwa kampuni ya simu maana hata hawaonekani huku mtaani yani unawatafuta kama unatafuta hela kumbe unatafuta vocha kwa hela yako.
Bado aise hawajafika viwango vya VodacommTigo,Halotel na wengine.
 
There is always relationship between state owned companies and failure since way back

Halotel wameanza operations 2015 market share 9% ,TTCL wameanza 1961 market share below 1 % na still wako protected kwenye competition na state,management yake iko politically motivated

Sent using Jamii Forums mobile app
Politica motivated,apo nmekuelewa mkuu
 
Ndio Kaka. Kuna dogo amerudi toka chuo hapa jirani. Kwa sasa ndio mtaalamu wetu wa IT. siyo DSTV au TV yenyewe, simu na kompyuta mpakato yangu. Dogo Yuko vzr. Cha ajabu huko chuo anasomea mambo torfauti kabisa.
Msalimie sana.
 
TTCL bora wabaki tu kama mamlaka itakayofanya kazi na makampuni ya simu lakini siyo kuwa kampuni ya simu maana hata hawaonekani huku mtaani yani unawatafuta kama unatafuta hela kumbe unatafuta vocha kwa hela yako.
Bado aise hawajafika viwango vya VodacommTigo,Halotel na wengine.
Asante sana kwa ushauri wako.
 
There is always relationship between state owned companies and failure since way back

Halotel wameanza operations 2015 market share 9% ,TTCL wameanza 1961 market share below 1 % na still wako protected kwenye competition na state,management yake iko politically motivated

Sent using Jamii Forums mobile app
TTCL imeanzishwa 1993, acha kupotosha.
 
TTCL bora wabaki tu kama mamlaka itakayofanya kazi na makampuni ya simu lakini siyo kuwa kampuni ya simu maana hata hawaonekani huku mtaani yani unawatafuta kama unatafuta hela kumbe unatafuta vocha kwa hela yako.
Bado aise hawajafika viwango vya VodacommTigo,Halotel na wengine.
Now wanarekebisha mitambo.
Ila kuanzia 2021 watakuwa juu tena juu mawinguni.
 
Back
Top Bottom