TTCL ina deni la bilioni 403 ilhali mtaji bilioni 243


TTCL hawauzi data kwa faida wakiamua kufanya biashara bando la internet utakua unapita ukiangalia
 
Simlisema rudini nyumnani kumenoga? hii nchi miyayusho sana , mtandao ukivuka maji kwenda kigamboni haupatikani unategemea kupata faida? masiasa kibaao ni kama ATCL tu hakuna kitu, mnadai mnaupiga mwingi
 
Mazingaombwe ya CCM hayo. Nakumbuka enzi za Magufuli hili ndo shirika la umma lililokuwa linapigiwa mfano kwa kujiendesha kwa faida na kuongoza ktk kutoa gawio. Sasa kiko wapi? Hayo mazingaombwe ya umaarufu wa kisiasa yalikuwa ysnafanyika kwa faida ya nani?
 
Simlisema rudini nyumnani kumenoga? hii nchi miyayusho sana , mtandao ukivuka maji kwenda kigamboni haupatikani unategemea kupata faida? masiasa kibaao ni kama ATCL tu hakuna kitu, mnadai mnaupiga mwingi

wakianza kupata faida we data hutaweza kununua
 
Hii nchi ina matatizo mengi aisee hadi unachoka kabisa. Jana nasikia tena Mfumo wa jamii unaidai serikali yetu 4.8 Trillion..aisee
 
Just like ATCL another loss making government run corporation. Annual loss 73 billions and total debt 429 billions.

hakuna shirika la serikali linapata loss inclusive, report za siasa ni tafauti na uhalisia wa uchumi wa mashirika ya serikali, ni kama useme zile hospitali za vijijini wananachi wanaojifungua bure ukaandike loss report
 
Hii nchi ina matatizo mengi aisee hadi unachoka kabisa. Jana nasikia tena Mfumo wa jamii unaidai serikali yetu 4.8 Trillion..aisee

subiri samia akimaliza upokee ripoti ingine
 
Heheh,

Hivi hawa si ndio walikuwa wanatoa gawio la faida kwa serikali...

Ama kweli mbio za sakafuni huishia ukingoni...

na ela walitoa wap ya kutoa gawio ilihali wanapata hasara na wafanya kazi wakalipwa na bado shirika liliweza kununua hisa zote zilizokua znamilikiwa na china zirudi tanzania, na mpaka leo bado inadunda
 

samia akimaliza mda wake subiria ripoti ingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…