Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TTCL kama haupo mjini , basi andika maumivu km unatumia intanetNimetoka kuiweka sasa hv
Kwahiyo hapo umeona kuna unlimited? Kwamba unaweza kudownload au kuupload hata gb 100 kwa siku?Kama Kenya kwa akina MK254 ipo, huko duniani ndo itakosekana? Em hata ugugo jamani, dah!!
View attachment 2260667
Hii huduma ipo, sio TTCL tu, hata kwa VodacomKwahiyo hapo umeona kuna unlimited? Kwamba unaweza kudownload au kuupload hata gb 100 kwa siku?
Ma vocha ya Nini Mkuu,weka pesa T-pesa au M-pesa nk uwe unanunua vifurushi,hata Mimi nililaumu Kama wewe Ila baada ya kutafakari nikaona wapo sahihiVocha zao tu hawawezi kasambaza ijekuwa intaneti!!!
Yani upewe unlimited kwa elfu 20 kweli Mkuu ? Huo Ni unyonyajiKwa bei hizo watasubiri sana!! WAtafanana na DSTV ambao wameng'ang'ania bei ya zaidi ya laki moja kwa kifurushi cha compact plus ili kuona EPL. Matokeo yake watu wamekomaa na vibanda umiza!! Wangeshusha angalau ikawa 50,000/= watu wengi sana wangenunua na wangepata faida sana.
sasa hawa TTCL wanataka sh 55,000 kwa intanenti spidi ya chini kwa mwezi, itabidi wasubiri sana! wangefanya sh 20,000/= wangepata watu wengi.
Hii huduma ipo, sio TTCL tu, hata kwa Vodacom
Ila inahitaji uwe Katikati ya jiji,
Kwahiyo sisi tunaozijui ni mafreemason au..😂Vocha Yao Mara ya mwisho niliiona 2008
Najua humu JF 90% hawajui hata zinafananaje.
Hata kwa laki 1 bado huwezi kupata unlimited bundleYani upewe unlimited kwa elfu 20 kweli Mkuu ? Huo Ni unyonyaji
Hakuna huduma hiyo kwa vodacom.
Naweza kudownload gb 100 ndani ya masaa 24 kwahiyo ya laki 1 na elfu 15?Hiyo inaitwa Superkasi( Voda )
Ni level ya business , unauziwa intanet kwa ku-subscribe
Hatuongelei vifurushi
View attachment 2260712
Na zaidi Boss,Naweza kudownload gb 100 ndani ya masaa 24 kwahiyo ya laki 1 na elfu 15?
Mimi naishi katikati ya jiji pia. Ila unlimited internet bundle kwa Tanzania bado. Iliwahi kuwepo kama miaka 10 huko nyuma nyakati za usiku tu.Na zaidi Boss,
Ila inahitaji uwe Kati kati ya jiji
Maeneo gani Mana sio kila sehemu itashika ,Mimi naishi katikati ya jiji
Buona notte tesoroMaeneo gani Mana sio kila sehemu itashika ,