Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

Baada ya kuhangaika na kampuni nyingi za mobile kwa internet ya kaofisi kwa muda mrefu, nilifanya majaribio ya hicho cha 10mbps > 55,000 hakika nilifikiri spidi ingekuwa ile ya konokono ila ipo poa kabisa na haipungui jinsi unavyotumia, hii ni ya kweli na nzuri kwa mtu aliye sehemu walipopitisha miundombinu yao ya fiber kama hawafanyi promotion kwa muda ili waje wa adilishe, nawasubiri kwa hamu wasambaze mitaani niweke na nyumbani
 
Kwa bei hizo watasubiri sana!! WAtafanana na DSTV ambao wameng'ang'ania bei ya zaidi ya laki moja kwa kifurushi cha compact plus ili kuona EPL. Matokeo yake watu wamekomaa na vibanda umiza!! Wangeshusha angalau ikawa 50,000/= watu wengi sana wangenunua na wangepata faida sana.
sasa hawa TTCL wanataka sh 55,000 kwa intanenti spidi ya chini kwa mwezi, itabidi wasubiri sana! wangefanya sh 20,000/= wangepata watu wengi.
Yani upewe unlimited kwa elfu 20 kweli Mkuu ? Huo Ni unyonyaji
 
Hakuna huduma hiyo kwa vodacom. Zamani ilikuwepo Airtel na halotel na ilikuwa lazima uamke usiku wa manane mwisho saa kumi na mbili asubuhi , kwa sasa hakuna unlimited bundle kwa Tanzania
Hii huduma ipo, sio TTCL tu, hata kwa Vodacom
Ila inahitaji uwe Katikati ya jiji,
 
Hiyo inaitwa Superkasi( Voda )
Ni level ya business , unauziwa intanet kwa ku-subscribe

Hatuongelei vifurushi
Screenshot_20220614-180026.png


Hakuna huduma hiyo kwa vodacom.
 
Na zaidi Boss,
Ila inahitaji uwe Kati kati ya jiji
Mimi naishi katikati ya jiji pia. Ila unlimited internet bundle kwa Tanzania bado. Iliwahi kuwepo kama miaka 10 huko nyuma nyakati za usiku tu.

Unlimited maana yake naweza kudownload na kuupload file la ukubwa wowote muda wowote
 
Back
Top Bottom