Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
250k afu bure?Hii huduma ipo mkuu, andaa bajeti ya 250k tu unafungiwa bure.
Utafurahia MB unlimited mpaka mwenyewe utasema basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
250k afu bure?Hii huduma ipo mkuu, andaa bajeti ya 250k tu unafungiwa bure.
Utafurahia MB unlimited mpaka mwenyewe utasema basi
Kakojoe ulaleYeah ubishi bila facts na evidence ni zaidi ya utoto, kizuri umechukua ushauri.
Hata hawajuwi wanaongea nini250k afu bure?
Hapo unlimited ipo wapi?Mbona hii huduma ipo zamani, kifurushi cha chini ni Tsh 25k kikiwa na MB 10
Kwa bei hizo tayari walishafeli.Kumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.
Bei za vifurushi kwa mwezi:
10mbps > 55,000
20mbps > 100,000
30mbps > 150,000
50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
Mzee una kichwa kigumuMbona hueleweki sasa? Mara BURE. Mara bill kwa mwezi! Ndo nini sasa? Kwa hiyo ukilipia kwa bill basi ni bure eti??!!
Canada, Usa, DenmarkNchi gani hapa duniani wana hiyo huduma ya unlimited internet bundle? Zitaje 3 nione
Wamefelije mbona bei elekezi kabisa😅 unataka ushinde instagram kwa bei gani mzee?Kwa bei hizo tayari walishafeli.
Ukilipia unatumia unlimited mwezi mzima bila kukatiwa kama tunavyokatiwa vifurushi vya reja reja kwa sasa tunavyoita bundleMbona hueleweki sasa? Mara BURE. Mara bill kwa mwezi! Ndo nini sasa? Kwa hiyo ukilipia kwa bill basi ni bure eti??!!
10 mb / s - SpeedHata hawajuwi wanaongea nini
250k halafu mb 10 Eti hii ni unlimited
Wamechelewa sana, nilimwambia kiongozi fulani miaka Ile fibre inaingia TZ nikamwambia aandike Andiko awapelekee wakubwa Leo hii TTCL angekuwa giant wa internet nchiniKumekuwa ni kilio cha muda mrefu kuhusu upatikanaji wa unlimited internet kwa gharama nafuu. Ilikuwa inashangaza ni kwa nini shirika kubwa kama TTCL Customer Care haliichukui hii fursa (hata kwa kushirikiana na TANESCO ili kutumia nguzo zao). Sasa wapo kwenye right track na watasambaza internet kila kona kuanzia mwaka ujao wa fedha; unajichagulia speed yako kulingana na uwezo wa kulipia kwa mwezi. Asante Jiwe Magufuli kwa kulipa shirika uwezo wa kufanya makubwa, historia itakukumbuka daima.
Bei za vifurushi kwa mwezi:
10mbps > 55,000
20mbps > 100,000
30mbps > 150,000
50mbps > 200,000
cc C.T.U
#KaziIendelee
hahahaha hio ni kwa mujibu wa Bongo ila kwa wenzetu hamna huo upumbavu! Ukiuziwa 10MBPS ni chap kweli full time unainjoy tu netUnapoambiwa unlimited hapo ni changa la macho!! wanachokifanya ni kukupa spidi ndogo hadi kero ili baada ya mwezi hata GB 10 hujatumia!
Sasa hiyo ndiyo unlimited?10 mb / s - Speed
Acha ubishi kama hujui kitu,
Internet Tanzania wanayo vodacom tu. Wengine wote waliobaki ni maigizo tuInternet yao ni ya hovyo sana
Kakojoe ulaleHivi ww, mnara unashika , vizuri kweli
Au chenga ni ww?
Nchi gani hapa duniani wana hiyo huduma ya unlimited internet bundle? Zitaje 3 nione
Mkuu ndio natuma muda huu hapa nalipia 115000 kwa mwezi mambo ambayo hamyajui msibishe jifunzeniHakuna huduma hiyo kwa vodacom. Zamani ilikuwepo Airtel na halotel na ilikuwa lazima uamke usiku wa manane mwisho saa kumi na mbili asubuhi , kwa sasa hakuna unlimited bundle kwa Tanzania
Voda hata 100gb unashusha kwa siku..acha ubishi!Kwahiyo hapo umeona kuna unlimited? Kwamba unaweza kudownload au kuupload hata gb 100 kwa siku?