Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
unless kama unatumia matumizi makubwa kama ya ofisi au la, ila kwa matumizi ya kawaida kama majumbani au sarijala 10mbps zinatosha kabisaKwa bei hizo watasubiri sana!! WAtafanana na DSTV ambao wameng'ang'ania bei ya zaidi ya laki moja kwa kifurushi cha compact plus ili kuona EPL. Matokeo yake watu wamekomaa na vibanda umiza!! Wangeshusha angalau ikawa 50,000/= watu wengi sana wangenunua na wangepata faida sana.
sasa hawa TTCL wanataka sh 55,000 kwa intanenti spidi ya chini kwa mwezi, itabidi wasubiri sana! wangefanya sh 20,000/= wangepata watu wengi.
Smile wana line za kawaida naweza kutumia kwenye simu?Kwasababu hujatumia smile na other isp providers.
Mimi nataka speed iwe limited only by my device siyo nipangiwe na wao wakati Kifaa changu kina uwezo wa hata 30mbpsNi 10Mbps yaani Megabytes per second na sio 10mb
Mkuu, fika ofisini kisha acha details zako waambie unapatikana wapi ili iwe rahisi kukufikia na kukufungia hiyo hudumaHuku uswahilini kwetu Mbagala kizuiani haipo
ZipoSmile wana line za kawaida naweza kutumia kwenye simu?
Airtel, tigo, halotel zote nimetumia na hakuna wa kumzidi vodacom
Boss huku Mara mpakani inaweza fika?Tena mimi nachezea kwenye hiyo 10mbps, completely unlimited, unatazama series mpaka unachoka, na nimegawa mpaka kwa mlinzi getini.
Mkuu kuna kitu hujaelewa, hyo 10MB wanayosemea ni speed, means utadownload kwa speed isiyozidi 10MB au wanafupishaga na kuandika 10MBPS=10MB/Sec byt ni unlimited mbona makampuni mengi sana wana hyo huduma hapa kwetu mfano kuna simb net ,ateb ,zuku pia wana hyo huduma. Wanakuja wanakufungua fiber na router unaejoy unlimited serviceHata hawajuwi wanaongea nini
250k halafu mb 10 Eti hii ni unlimited
hata kwenye Gas tuliambiwa hv hvHuu wimbo umeimbwa sana, na hakuna hata kilicho tekelezeka
Kwa dunia ya Sasa , kuna vijana tumejiari kwenye mtandao , Ila ukifikiria gharama za Bando , unafikiria u-quit , ufanye makazi mengine
Hisa za VodacomUtekelezaji sasa.
Wewe na kassim mnafananaNimetoka kuiweka sasa hv
Na vijiko wanagawa bureSasa sie wazee wa pilau sii ndio itakuwa full burudani
Eeeh bhana mbona unaongea kwa jazba, hivi unajua TTCL washaanza kusambaza FiberIzo polojo km wameshindwa kusambaza vocha iyo intrnet ndo watawaza kwel galama za kutengeneza miundombinu ya usambazaji wa vocha ni nafuu kulko galama za kusambaza miundombinu ya internet
Yaaah washaaanzaEeeh bhana mbona unaongea kwa jazba, hivi unajua TTCL washaanza kusambaza Fiber
Ndio maana yako bossHapo unlimited speed ipo wapi wakati limit ni 10mbps?
Kwahiyo ukilipia bill ya maji kwa mwezi ndiyo umeruhusiwa kufungulia bomba utakavyo?