Pre GE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
MUNGU AMEAMUA UGOMVI
 
Wanaukumbi.

Huu siyo utaratibu wa Serikali Rais anamtengua Waziri kisa Bodi inatoa Tangazo.
Naona kama kichwa cha habari kinapingana na mtazamo wa maelezo yako ndani. Unakubali kuwa walichokifanya ni utonvu wa nidham, kisha hukubaliani na utenguzi wa waziri kufuatia wizara ilichokifanya. Anyway, wote hao niserikali, rais na waziri wote ni serikali,acha wawajibishane
 
Hivi huko TTCL ndipo alipo Ma-beans CHAN -DE?
Nataka kuchora Delta kila pembe ya Delta jina member wa genge Millet-Marope-Mabeans..
Juu yao yupo El Patron Cha-mukwere pesa ya mbongo Chief.
Ila naona Cha-Mukwere El Patron kapoozwa kiduchu ni vile mrithi wake kapewa upaji mkubwa.
 
Amekosea neno kisha aka andika kisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…