Uchaguzi 2020 Tuache kutetea Ujinga: Kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama siyo sahihi

Uchaguzi 2020 Tuache kutetea Ujinga: Kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama siyo sahihi

Ila Peter Msechu akibadiri nyimbo ya Dini kuweka maneno ya kumsifia magufuli iyo sawa???


Acheni double standard walichofanya chadema wala si kosa kisheria na hata pia kimaadili
Siku ccm nao wakiimba wimbo wa taifa ie ibariki ccm...mtakimbia nyinyi
 
Ni viongozi gani wa CCM au ni kwenye kikao gani cha CCM walibadiri maneno ya wimbo wa Taifa?

Kwahiyo kosa la kubadili bet za huo wimbo ni kwa viongozi tu, ila watu wengine wakifanya hivyo sio kosa! Acha kutetea uhuni wa huyo msajili anayekalia wazi makosa ya msingi. Kumtetea msimamizi mwenye nia ovu, ni unafiki kama unafiki mwingine.
 
Wanaoona umuhimu au thamani ya huo wimbo wa taifa ni wale wanaofaidi keki ya taifa huko serikalini na taasisi zake, lakini sio watu wa kawaida. Kamata vijana randomly ambao ni wengi, waambie wakuimbie wimbo wa taifa uone hata kama wanaweza zaidi ya ule ubeti mama. Au hata uwaulize heshima ya huo wimbo uone kama wanaelewa, au kuona fahari ya huo wimbo. Wangalau watu waliozaliwa kabla ya mwaka 80 ndio wanajua thamani ya huo wimbo wa taifa, lakini sio kizazi hiki cha kuvaa vimini na suruali chini ya makalio, na wavulana kuvaa hereni. Msitake kukuza jambo lisilo na uzito huo kwa jamii husika.
Kwa hivyo tuendeleze hiyo hali ya kutothaminiwa?
 
Huyo ni mwana ACT sasa hilo povu lote ni kwa sababu cdm hawana mpango wa kumuunga mkono Membe huku bara.
Zamani tulikuwa hatuvai bendera, siku hizi tunachambia bendera, na maisha yanasonga usikariri dogo, vitu vyote chini ya jua Ni ubatili tu
 
Yote semeni tukana kama mnavyopenda lakini kuwaita binadamu Mbwa hii too much yaani JF ni bora turudi Jambo forum
 
Kwahiyo hilo Katazo dhidi ya cdm ndio mmeanza kuhakikisha unaanza kuthaminiwa? Huyo msajili ni mchekeshaji wa mfalme kama wachekeshaji wengine.
Sawa naheshimu mawazo yako.
 
Naona umekasilika sana baada ya kugundua kuwa cdm haina mpango wa kujiunga na ACT ili kumuunga mkono Membe! [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu tuungane kuwanyoosha hawa wanasiasa, tukiwashangalia kwa kila kitu watatupanda vichwani.

Namaanisha wanasiasa wote, wa upinzani na CCM
 
Kuna watu wako neutral aisee , hawazuzuliwi na sisiem hata kwa maneno au vitendo ambavyo mwenye akili anajua vinafanywa kama hadaa wapate kura, lkn pia wanaangalia Upinzani kama watu wanaostahili kupewa nchi na wala si Mamluki .

Fikiria leo wanabadili Wimbo wa Taifa, halafu wanaona haina madhara . Ni kweli kuuimba au kutoimba haubadulishi hali ya barabara zetu , au mfumo wa elimu lkn huo ndio nembo ya NCHI

Ipo siku watabadili bendera kuwa ina shida, watabadili taratibu za nchi, watabadili tamaduni na utaifa. Na kweli WATABADILI

Je Ujasiri huu unatoka wapi?
Waliona weakness ya Katiba na Sheria za Nchi. Na ZIPO NYINGI
Wanapata Ujasiri kusema kashtaki ,maana wajua hakuna kifungu kinawatia hatiani.
Lkn ukwelu HAWAFAI
Kutokomaa kisiasa kuliko pitiliza nadhani wataomba msamaha maisha yaende hakuna MKAMILIFU chini ya Jua ila WAMETELEZA

Lkn ukisiakia wanasema liwalo na liwe. Basi wenye akili watajua. Je UJASIRI HUU UNATOKA WAPI?
NANI YUPO NYUMA YAO?
Wengine sijui wamesingizia kuwa safari hii hakuna kumsubiri Mungu wananchi WATAINGIZWA BARABARANI. Ok sawa

Vyombo vyetu vya Usalama angalieni NDANI na NJE huenda seemu kinatokea Kiburi.

Tujenge vyama kama Simba na Yanga
Ushabiki Mzuri wa Vicheko mnakwaruzana uwanjani hata kurushiana mikojo lkn mnacheka mnapeana zawadi kwa kumfunga mwenzako.

Ova.
Ccm ndiyo hiyooo ishaingia kibra
 
Mi naona kama kuna watu nyuma ya Lisu kumuhujumu tu. Haiwezekani kuwa hayupo wa kujua kitu ambacho si cha uchama halafu kishangiliwe, awe na mtu wa kumsaidia wasimharibie hapa kampeni bado.
Poleni sana hiyo ndiyo dawa yenu naona leo mmevimba kama madumu ya komoni, pasukeni tu na cdm ndiyo inachukua nchi
 
Umelipatia sana hilo gamba
Ni madhara gani jamii ya watanzania watapata kwa kutokusimama wakati wimbo wa taifa unaimbwa? Juzi ccm wamegawa rushwa kama njugu na jamii inaona ni sawa tu, huku rushwa ikiwa na madhara ya moja kwa moja kwenye maisha yao. Ndio wataona kosa kutokusimama huo wimbo ukiimbwa?

Ww unajua umuhimu wa huo wimbo wa taifa, kwanini usijue umuhimu wa kuweka koma ama nukta kwenye hii post yako, ili tupime uelewa wako wa mambo?
 
Back
Top Bottom