Tuache kuwatahini watoto ili kujua mwenye uwezo wa kukariri, hakuna mtoto aliye-fail, bali serikali ndiyo ina-fail

Tuache kuwatahini watoto ili kujua mwenye uwezo wa kukariri, hakuna mtoto aliye-fail, bali serikali ndiyo ina-fail

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Naomba nikiri katika pita pita zangu za kielimu nimegundua mambo yafuatayo:

1. Elimu inapaswa ifundishe watu kutatua matatizo yao na siyo yenyewe kugeuka kuwa tatizo.

2. Siyo kila tatizo la kidunia linatatuliwa na mfumo rasmi wa kielimu ambao unapima uwezo wa kukariri na si kutatua matatizo.

3. Elimu siyo kipimo sahihi cha kupima akili za watu bali utatuzi wa matatizo.

4. Siyo kila mtu anatakiwa asome, wengine wanatakiwa wafanye shunghuli nyingine zisizohitaji elimu.

5. Vijana wetu wanatakiwa kufundishwa stadi za kazi na siyo kukaririshwa mavitu yasiyo na manufaa kwao.

6. Vipaji vya watoto vitambuliwe mapema na mkazo uwe mkubwa kwenye maeneo wanayoyaweza na kuyapenda.

7. Mfumo wa sasa wa elimu ni chongeshi na gombeshi, si kila mtoto anaweza kukariri ni sawa na kulazimisha watoto wapigane ngumi na hicho ndiyo kiwe kipimo chako cha ufaulu.

8. Hakuna mtoto aliye fail ila serikali ndiyo ime fail
 
Wasalaam wana JF

Naomba nikiri katika pita pita zangu za kielimu nimegundua mambo yafuatayo:

1. Elimu inapaswa ifundishe watu kutatua matatizo yao na siyo yenyewe kugeuka kuwa tatizo.

2. Siyo kila tatizo la kidunia linatatuliwa na mfumo rasmi wa kielimu ambao unapima uwezo wa kukariri na si kutatua matatizo.

3. Elimu siyo kipimo sahihi cha kupima akili za watu bali utatuzi wa matatizo.

4. Siyo kila mtu anatakiwa asome, wengine wanatakiwa wafanye shunghuli nyingine zisizohitaji elimu.

5. Vijana wetu wanatakiwa kufundishwa stadi za kazi na siyo kukaririshwa mavitu yasiyo na manufaa kwao.

6. Vipaji vya watoto vitambuliwe mapema na mkazo uwe mkubwa kwenye maeneo wanayoyaweza na kuyapenda.

7. Mfumo wa sasa wa elimu ni chongeshi na gombeshi, si kila mtoto anaweza kukariri ni sawa na kulazimisha watoto wapigane ngumi na hicho ndiyo kiwe kipimo chako cha ufaulu.

8. Hakuna mtoto aliye fail ila serikali ndiyo ime fail
Kweli kabisa..maana wale watoto waliopata first division wote utafikiri wanauwezo kumbe wamekariri.

Kwannini nasema hivi.

Shule kama ilboru, mzumbe, kibaha nk. hawana ufaulu ule na ndio ma magenius wetu unategemea nini. Kuna walimu Sasa hiv walisoma Mzumbe na kibaha yaani ni wakawaida tu hawana jipya lolote, yaani ni makaratasi tu.

Kule china enzi zetu piga risasi wote maana wanamchezea pesa za serikali kusoma vipaji maalum na wanakuwa kama mwanafunz wa Taifa sekondari
 
Kweli kabisa..maana wale watoto waliopata first division wote utafikiri wanauwezo kumbe wamekariri.

Kwannini nasema hivi.

Shule kama ilboru, mzumbe, kibaha nk. hawana ufaulu ule na ndio ma magenius wetu unategemea nini. Kuna walimu Sasa hiv walisoma Mzumbe na kibaha yaani ni wakawaida tu hawana jipya lolote, yaani ni makaratasi tu.

Kule china enzi zetu piga risasi wote maana wanamchezea pesa za serikali kusoma vipaji maalum na wanakuwa kama mwanafunz wa Taifa sekondari
Vipaji maalumu ata kutengeneza flash disks hawawezi, hii nchi ina ujinga mwingi sana
 
Back
Top Bottom