Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
- Thread starter
- #21
Ni error tu.
Nilimaanisha ajira/kazi nzuri
Nilimaanisha ajira/kazi nzuri
Ajira Mzuri
Ndio kitu gani!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajira Mzuri
Ndio kitu gani!?
Kuna mjamaa alivunjwa mkono kwenye hizo mwendokasi za Kimara- Kariakoo.Mwendokasi ya kariakoo to kimara siwezi isahau jamani..! Vurugu tupu kupata kipenyo uingie
Kuna mjamaa alivunjwa mkono kwenye hizo mwendokasi za Kimara- Kariakoo.
Ni workmate wangu.
Mkuu, nchi zilizoendelea hawatumii daladala. Wanatumia public transport!
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Acha hizoTeh..naona umepata mkopo wa kununua vitz, tayari unawaponda wapanda daladala, watu kibao tunamiliki magari private na bado huwa tunapanda daladala, kadri muda unavyoenda utajifunza tu kwamba hata tajiri anaweza kurudi kula tembele na dona..
Kwa hiyo ukishamiliki gari ndo makalio yako yanafungamanishwa na hilo gari huwezi kukaa kwenye gari nyingine, huna reasoning ndo matatizo ya shule za kata haya...Acha hizo
Huna gari,halafu achana na mentality za kimaskin
Hakuna mwenye kipato kizuri akaishi maisha ya dala dala Dar,hayupo tusiongopeane
Sent using Jamii Forums mobile app
Povu la stress hili,sio bureKwa hiyo ukishamiliki gari ndo makalio yako yanafungamanishwa na hilo gari huwezi kukaa kwenye gari nyingine, huna reasoning ndo matatizo ya shule za kata haya...
Mwendokasi ya kariakoo to kimara siwezi isahau jamani..! Vurugu tupu kupata kipenyo uingie
Acha hizo, kwa miaka kadhaa nilimisi daladala, nina wiki nina enjoy usafiri huu, hata sasa niko ndani ya daladala, mara usukumwe na tako kubwa la binti, mara uwekewe matiti mgongoni, yasni full budani, nitahitimisha 20/3/2020 ziara ya daladala
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh..naona umepata mkopo wa kununua vitz, tayari unawaponda wapanda daladala, watu kibao tunamiliki magari private na bado huwa tunapanda daladala, kadri muda unavyoenda utajifunza tu kwamba hata tajiri anaweza kurudi kula tembele na dona..
Acha hizo
Huna gari,halafu achana na mentality za kimaskin
Hakuna mwenye kipato kizuri akaishi maisha ya dala dala Dar,hayupo tusiongopeane
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha hizo, kwa miaka kadhaa nilimisi daladala, nina wiki nina enjoy usafiri huu, hata sasa niko ndani ya daladala, mara usukumwe na tako kubwa la binti, mara uwekewe matiti mgongoni, yasni full budani, nitahitimisha 20/3/2020 ziara ya daladala
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara umejambiwa ushuzi wenye Corona.
Siku ukiondoka kwa shemeji hapo ulipoolewa na dada yako utaelewa namna maisha yanavyo evolve, watu kama nyie ndo huwa mnatoa mapovu jamaa kaninyima buku tano wakati anamiliki gari.Povu la stress hili,sio bure
Yes namiliki gari,nisipotumia langu natumia la ofisi au kama ni dharura natumia uber/bolt,
Reasoning nye nye nyee,wakati umepanda mwendokasi ya kimara mmejaa kama ng'ombe mnaopelekwa mnadani
Sent using Jamii Forums mobile app