Ntolonyonyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,231
- 2,357
Vijana wa Dar mnatabu sana...kisa kununua huto tu baby walker....gari za kuendea sokoni mnaanza kunyanyapalia wenzenu....tena wengine mnaendesha za mashemeji zenu, dada, kaka, baba au mama..Acheni hizo kila kitu na wakati wake..kila mtu apambane na hali yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app