Tuache masihara, daladala ni usafiri wa watu duni hapa Dar es salaam

Tuache masihara, daladala ni usafiri wa watu duni hapa Dar es salaam

Daladala hupandwa na watu wenye kipato cha chini, hupandwa na watu waliokosa ajira/ kazi nzuri.

Daladala hupandwa na watu wenye background ya chini. Daladala imejaa watu ambao ustaarabu wameusahau nyumbani.

Natamani August 2020 nikome kupanda daladala.

Hayo niliyoyaandika sija generalize kuwa wapanda daladala wote wako hivyo ila wengi wana sifa moja wapo ya hizo juu.
DART walipoleta mwendokasi wakatuaminisha kuwa daladala ni usafiri wa hadhi na heshima, hatukuita daladala, tukaita mwendokasi but now mwendokasi imekuwa mtihani
Unamaanisha wote wenye vyombo vya usafiri ni wastaarabu na wenye maisha mazuri kumbuka wengine wamehongwa na hata mafuta wanaoungaunga hawana pesa hasa wenye vigari vidogo chini ya CC 1800

Niga from Timbuktu
 
One day natoka kariakoo kwenda mbagala , daladala imesimama fresh napanda nipo mlangoni nyuma yangu kuna dada mmoja naye akapanda kabla sijaingia vizuri ,dereva akasogeza gari mbele kidogo yule dada akakosa balance na sehemu pekee ya haraka ya kushika ni mimi niliyekaribu yake akashika shati langu kwa nguvu ..akatoka na vifungo vyote kuachia cha pili kutoka juu had cha cha pili kutoka chini ..shati likabaki na vifungo viwili tu ..cha kwanza na cha mwisho ..bahati nzuri ndan nilikuwa na singlet ndio ilinisaidia njia nzima nimeshikia shati ..dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daladala hupandwa na watu wenye kipato cha chini, hupandwa na watu waliokosa ajira/ kazi nzuri.

Daladala hupandwa na watu wenye background ya chini. Daladala imejaa watu ambao ustaarabu wameusahau nyumbani.

Natamani August 2020 nikome kupanda daladala.

Hayo niliyoyaandika sija generalize kuwa wapanda daladala wote wako hivyo ila wengi wana sifa moja wapo ya hizo juu.
DART walipoleta mwendokasi wakatuaminisha kuwa daladala ni usafiri wa hadhi na heshima, hatukuita daladala, tukaita mwendokasi but now mwendokasi imekuwa mtihani
Sioni kama kuna haja ya kuyasema hayo uliyosema

Unaowasema ni mama, dada, baba, au ndugu zetu wengine

Ungenunua gari lako kimyakimya ungepata hasara gani

?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom