ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
[emoji23]hapa mimi simo kabisa!!Hapana mtumishi! Usilisikilize hilo jitu lina corona kichwani ...pia lina autsim!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]hapa mimi simo kabisa!!Hapana mtumishi! Usilisikilize hilo jitu lina corona kichwani ...pia lina autsim!
Ni usafiri wa umma!Public transport ni nini ?
Wanalipia mkuu
Duniani hakuna vya bure mkuu
Tulia ww upakatweHapana mtumishi! Usilisikilize hilo jitu lina corona kichwani ...pia lina autsim!
Umeongea vizuri sana mkuuHongereni sana wenye hatua hizo, kiukweli hakuna anaependa shida, kikubwa kupanbana kuweza kutoka kwenye shida hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Povu la stress hili,sio bure
Yes namiliki gari,nisipotumia langu natumia la ofisi au kama ni dharura natumia uber/bolt,
Reasoning nye nye nyee,wakati umepanda mwendokasi ya kimara mmejaa kama ng'ombe mnaopelekwa mnadani
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha wote wenye vyombo vya usafiri ni wastaarabu na wenye maisha mazuri kumbuka wengine wamehongwa na hata mafuta wanaoungaunga hawana pesa hasa wenye vigari vidogo chini ya CC 1800Daladala hupandwa na watu wenye kipato cha chini, hupandwa na watu waliokosa ajira/ kazi nzuri.
Daladala hupandwa na watu wenye background ya chini. Daladala imejaa watu ambao ustaarabu wameusahau nyumbani.
Natamani August 2020 nikome kupanda daladala.
Hayo niliyoyaandika sija generalize kuwa wapanda daladala wote wako hivyo ila wengi wana sifa moja wapo ya hizo juu.
DART walipoleta mwendokasi wakatuaminisha kuwa daladala ni usafiri wa hadhi na heshima, hatukuita daladala, tukaita mwendokasi but now mwendokasi imekuwa mtihani
Mkuu kuna tofauti gani kati ya daladala na public transport??Mkuu, nchi zilizoendelea hawatumii daladala. Wanatumia public transport!
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda mm ndo nikupakate..ulivyo na kimwili cha kama cha H. Polepole nikikuvunja je vipaja hvyo? Alafu sitak masihara na ww!Tulia ww upakatwe
Unapozungumzia mbele ondoa "India" kwenye kichwa chako,,,India ni kama Temeke tu!Mkuu kuwa specific, MBELE wapi? Ona hz... hapa ni NEW DELHI na hizo Bus zinamilikiwa na DELHI METRO View attachment 1391314View attachment 1391320View attachment 1391321View attachment 1391322
Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni kama kuna haja ya kuyasema hayo uliyosemaDaladala hupandwa na watu wenye kipato cha chini, hupandwa na watu waliokosa ajira/ kazi nzuri.
Daladala hupandwa na watu wenye background ya chini. Daladala imejaa watu ambao ustaarabu wameusahau nyumbani.
Natamani August 2020 nikome kupanda daladala.
Hayo niliyoyaandika sija generalize kuwa wapanda daladala wote wako hivyo ila wengi wana sifa moja wapo ya hizo juu.
DART walipoleta mwendokasi wakatuaminisha kuwa daladala ni usafiri wa hadhi na heshima, hatukuita daladala, tukaita mwendokasi but now mwendokasi imekuwa mtihani
DuhMkuu, nchi zilizoendelea hawatumii daladala. Wanatumia public transport!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapozungumzia mbele ondoa "India" kwenye kichwa chako,,,India ni kama Temeke tu!
Hio hio mkuu
Dala dala ndo kama za huku kwetu mkuu. Kule mbele mbele hazipo!Mkuu kuna tofauti gani kati ya daladala na public transport??